bante22
Senior Member
- Jan 29, 2020
- 135
- 155
Hakuna jambo lisilo na Mwisho Serikali ya America imemtafuta osama bin laden kwa Miaka lakini siku zake zilifika hakuwa pekee yake alikuwa na kundi lake lakini karibu wote 36 sasa ni wote Marehemu hata kigogo na mtandao wake ipo siku tu watashika tu.siku zao zinahesibiwa.