IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 3,172
- 3,821
Yule hashikwi kama kuku! Lazima kuwe na mipango na mikakati madhubuti hadi kufikia hiyo hatua unayoiongelea. Hata yule muuwaji wa Genocide ya Rwanda bwana Kabuga alikamatwa baada ya zaidi ya miongo miwili.
Yule mwamba wa Rwanda alikua amejificha dunia hii hii kweli?
Maana miaka 26 ni mingi