Kama yuko US unamkamataje?atakamatwa tu, nyie si mnamtia pampu anajazwa upepo wa kuongea ovyo ovyo, ipo siku tu, kwani njia ya mwovu ni fupi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama yuko US unamkamataje?atakamatwa tu, nyie si mnamtia pampu anajazwa upepo wa kuongea ovyo ovyo, ipo siku tu, kwani njia ya mwovu ni fupi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona una fura?? Kigogo anataja uozo wa serikali ya ccm. Ni mtu mzalendo kwa taifa lake.Huyo mpuuzi tu hana lolote, ametumia corona kuleta uchonganishi kati ya serikali na wanannchi /mataifa ya nje, ameshindwa, sasa amehamia kwenye kudai kua anatafutwa , mara sijui fulani ns fulani wamekaa vikao vya kumkamata, ndicho anachoweza huyo fara kufanya hasaidii chochote na wala hawasaidii watanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona swala la Genocide Rwanda hulielewi vizuri liache kama lilivyo.Yule hashikwi kama kuku! Lazima kuwe na mipango na mikakati madhubuti hadi kufikia hiyo hatua unayoiongelea. Hata yule muuwaji wa Genocide ya Rwanda bwana Kabuga alikamatwa baada ya zaidi ya miongo miwili.
Mkuu mbona una fura?? Kigogo anataja uozo wa serikali ya ccm. Ni mtu mzalendo kwa taifa lake.
Ana weka wazi wizi wa fedha na mazli za umma.uzalendo wake unaanzia wapi? embu tuanzie hapo..nitajie mambo ya kizalendo anayoyafanyia nchi ambayo yamesaidia kuongezeka kwa uchumi wa taifa letu
Sent using Jamii Forums mobile app
Akishikwa kuna faida yoyote unapata?Wakuu Salaam;
Wapo watu wengi wameshikwa na kupelekwa mahakamani kwa makosa mbalimbali ya kimtandao.
Juzi kadakwa Idriss na hakieleweki hadi saivi, shauri lake linasoma ni makosa ya mtandaoni.
Waandishi wa Habari, Viongozi wa vyama vya upinzani imekua ni rahisi sana kuwaita kituoni na kuwapeleka mahakamani ikibidi pale ambapo wanaandika maudhui ya aina fulani mtandaoni. Hali hii imefanya pia wengine kupata kesi zilizobadilisha taswira ya siasa kutokana na hukumu zilizotolewa kwa wahusika.
Hali ni tofauti kwa mtu anayejiita Kigogo2014 anayetumia mtandao wa Twitter sana kuposti mambo mbalimbali, mengine yana kejeli kwa Mkuu wa nchi na sekta mbalimbali na hata viongozi husika.
Juzi kadakwa Mdude, na pia alishawahi shikwa na kuteseka kisa ishu ileile ya maudhui mtandaoni na hili kila mtu anakumbuka.
Mifano iko mingi kwa viongozi wa siasa hasa wa vyama vya upinzani waliopata kesi hizo.
Kwanini hii awamu ya 5 ya JPM isiojaribiwa kama anavyosema iliyopitisha sheria kuhusu matumizi ya mtandao imeshindwa kumshika mtu anayeitwa Kigogo2014 ilihali inaweza shika wengine kirahis tu? Huu ni udhaifu?
Wamemkanatia nchi gani??Yule mwamba wa Rwanda alikua amejificha dunia hii hii kweli?
Maana miaka 26 ni mingi
Sifahamu kwanini aliacha lakini ninachojua kwa uhakika ni kwamba aliwatoa polisi mafichoni akawaweka barabarani na silaha za kivita kisa maandamano uchwala yaliyopangwa na mdada mmoja ambaye wanajua sura yake , wanajua anapoishi na wanawajua hadi ndugu zake.Mbona aliacha harakati zake? Ama aliishiwa Sera
Mkuu Kennedy nimedharau au nimesema uhalisi?Mleta Mada Umeandika Vema Ila Umeniudhi Ulovyomalizia Thread Yako. Siku Nyingine Jirekebishe!!!
Usiidharau Serikali Kiasi Hicho!
Kwa mawazo ya haraka ile itakua ni kurasa ya Serikali pia,inafanya chochote kwa kusema ili kupata michango mingi ya watu na kujua wanatakiwa wafanye nini kwa wananchi,ni account inatumika kufanya evaluation hivi na nina fikiri siyo kwa nia mbaya,bali kwa nia njema ya kuchukua mawazo ya watuHuyo jamaa kumuelewa na kujua account yake inavyoendeshwa kuelewa ni ngumu, ile account ipo on 24 hours unaweza amka usiku wa manane jamaa anatweet tu sasa unajiuliza ni mtu mmoja au ni wengi
unaweza jiuliza mda anaolala jamaa ni saa ngapi na usipate jibu maana account 24 inapost tu
Sent using Jamii Forums mobile app