Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,261
- 1,883
Magufuli hatutamsahau Kwa KAZI nzuri aliyolifanyia Taifa hili majizi TU ndo yanashangilia kuondoka kwake Duniani ila ni suala la muda TU kila mtu atakiri yule Mwanaume alikuwa analipenda taifa Hili Kwa dhati kabisa