Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 2,505
- 6,212
- Thread starter
- #41
Hapo pombe zikikata akili zikirudi kwenye utimamu utakuwa mziki mnene😅😅 ndio mtamaliza na wife kiutu uzima kwa kusingizia tungi
Hapo pombe zikikata akili zikirudi kwenye utimamu utakuwa mziki mnene😅😅 ndio mtamaliza na wife kiutu uzima kwa kusingizia tungi
To be honest kaka mshana me napendelea zaidi liquor store au ka grocery ambacho nitamkuta muuzaji yuko peke yake tuNyumbani sio bar na bar sio nyumbani
Utamuita nani sasa akusikikize
Utahudumiwa na nano
Utamuomba nani bili
Utamuachia nani 'keep change'
Utamuoshea nani macho...😀View attachment 3588208
Hmm shemeji nakusema🤭
Hebu nielekeze michongo na tenda mnaoataje bar wenzetu! Pia kwasisi ambao vilivyotajwa na kaka mkubwa hatutumii itakuwaje sasa🤦🏽♀️
😀😀 nafikiri pia faida ya kutoka unapata za kugongeaPombe ni pombe.. testi ni ile ile.. waache kujiendekeza. Kama ni mziki waashe radio nyumbani..
😂😂 Ila MshanaNyumbani sio bar na bar sio nyumbani
Utamuita nani sasa akusikikize
Utahudumiwa na nano
Utamuomba nani bili
Utamuachia nani 'keep change'
Utamuoshea nani macho...😀View attachment 3588208
To be honest kaka mshana me napendelea zaidi liquor store au ka grocery ambacho nitamkuta muuzaji yuko peke yake tu
Unakumbuka ili siku niliugua kabisa😅Ukiwa home mapozi yanapungua ni unakata glass bila kuyumba huku watu wanakushangaa🤣
niko live hapa kwenye ka liquor store changu kila siku jioni hiko kiti kipo kimoja kinanisubiri mimi,,uzuri pia waindonesia sio wanywaji kabisa so kampani labda huwa weekends kwenye ma club ila daily siwezi kwenda bar just la grocery au liquor storeBro utakuwa umekula sana wahudumu. Dah!
Kunywa chumbani na wife..Sio vyema kunywa pombe mbele ya watoto...
Pombe ni pombe.. testi ni ile ile.. waache kujiendekeza. Kama ni mziki waashe radio nyumbani..
Huko liquor store inaonekana kuna urahic wa kuopoa kuliko Barniko live hapa kwenye ka liquor store changu kila siku jioni hiko kiti kipo kimoja kinanisubiri mimi,,uzuri pia waindonesia sio wanywaji kabisa so kampani labda huwa weekends kwenye ma club ila daily siwezi kwenda bar just la grocery au liquor store
nyumbani sio mbinguni, lazima pachangamke mala moja moja 😁😁Hapo pombe zikikata akili zikirudi kwenye utimamu utakuwa mziki mnene
Hahahahanyumbani sio mbinguni, lazima pachangamke mala moja moja 😁😁
Mginguni penyewe utulivu ulivyozidi ikabidi shetani akinukishe
kwan home hakuna vibePombe bila vibe hainogi
Hio kali kwahiyo unataka pochi ikaukeUkiwa nyumbani unahisi hutumii hela.
Kumbe lengo ni kutoighasi familiaPombe inanywewa popote iwe home au bar....
Tukiwa tunakunywa huwa tunahitaji kampani kidogo na huwa tunachangamka sana na sometime kuongea. Sasa upo home kuna namna unakua unajikaza usiongea sana. Kuna story utashindwa tu. Pia uwepo wa watoto si vyema kunywa mbele ya watoto. Waache wakue wajiamulie wenyewe kunywa au kutokunywa.....
Pia pombe za nyumbani unajikuta unakunywa nyingi na umezima kibarazani mbele ya watoto. Au umewaka unaanza kupigia simu watu au kutuma mameseji...
Pombe za nyumbani ni kero kwa kweli.
Wewe ni wale wa kukaa counter😀To be honest kaka mshana me napendelea zaidi liquor store au ka grocery ambacho nitamkuta muuzaji yuko peke yake tu
ni sawa . Mara moja moja inatakiwa.Kunywa chumbani na wife..