Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,823
- 86,634
Ndio ila kama hauna watoto wala uwepo wao haukubugudhi unajidunga zako taratibu na kamziki pembeni!Kumbe watu wanatoka ili kupata utulivu kuepuka ghasia
Ndio ila kama hauna watoto wala uwepo wao haukubugudhi unajidunga zako taratibu na kamziki pembeni!Kumbe watu wanatoka ili kupata utulivu kuepuka ghasia
Labda nimelea wa mamako! Wewe unaishi na watoto wa Tz nzima?Umewai kulea hata mtoto wa dadaako? Maana waropokwa tuu pengine huna uzoefu.
Ukiwa home mapozi yanapungua ni unakata glass bila kuyumba huku watu wanakushangaa🤣Pombe za kunywea ndani naona natakiwa niziache sasa huwa najitusua sana kuliko nikienda bar😅
Kila chenye faida hakikosi hasara😀😊 Hapo nimeelewa kumbe mtoko unafaida yake
Unamtia kelebu moja hatorudia tena🤭 joxKuna wale ukisogeza mguu naye yupo nawe 1y
Hmm shemeji nakusema🤭Japo naweza na inatokea mara chache ila Mm Bia na kuangalizia mipira home hainogi.
Kwanza ujue bar hufuati bia tu. Kuna kubadilishana mawazo. Kuna kuongeza kitu kipya ambacho hujui. Kuna tenda na kaz (michongo) .
Kuna mastory ya siasa na mipira.
bado kuna siku umeshiba hela na unataka ule kitimoto yako saaaf na bia zako. 😊😊😊😊😊
+ na sababu nyingne bro Mshana Jr alizotaja.😂😂😂😂
Hapo raha mustareheNdio ila kama hauna watoto wala uwepo wao haukubugudhi unajidunga zako taratibu na kamziki pembeni!
Hio ndio kanuni ya ulimwenguKila chenye faida hakikosi hasara😀
Mtoto wa mama angu ndio mm kama vipi njoo unilee.Labd animelea wa mamako! Wewe unaishi na watoto wa Tz nzima?
Hicho kichaa sasa!Mimi ili nijihsi nakunywa pombe lazima nipige mayowe,nijimwagie pombe kichwani,niwe na kitimoto pembeni na nimdandie dadapoa.
Wewe umekuja na jazba ya kuexpect majibu kama unasahihisha mtihani kila mtu hapa anaandika kwa experience yake sio kwaajili ya watoto wa mtu fulani!Mtoto wa mama angu ndio mm kama vipo njoo unilee. Sema wewe umeweka conclusion ya watoto kuangalia katuni as if umeshawahi kulea watoto wa Dunia nzima. Kuna madogo hawatulii sehemu hususani wazazi wakishinda nyumbani, muda wote baba hiki, baba Kila fujo kama zote.
😅😅 ndio mtamaliza na wife kiutu uzima kwa kusingizia tungiSasa mzuka ukipanda si unaweza mpapasa matako beki tatu .
😁😁 unasingizia tungi, mgogoro hautokuwa mkubwa sanaUtaanzisha vita hapo nyumbani