Hivi pesa inapatikana wapi?

Hivi pesa inapatikana wapi?

Aisee kuchimba madini ni kazi sana asikwambie mtu mnachimba shimo refu hadi kwenye miamba huko halafu mnaporora yani mnakuta veni haina kitu badala yake mnaosha felo la watu waliochimba zamani mnaambulia point tatu mnagawana mnanunua dona muendelee kuishi
Hahahahhaahhahahah hatari sana mkuu, ukute veni inanata sasa alafu haina madini, mkitoka hapo kila mtu na lugha yake hamuelewani
 
Back
Top Bottom