Hivi ni vidonge GANI?

Hivi ni vidonge GANI?

Kula vizur, fanya mazoezi , pumzisha mwili wako , ukizingatia hayo utaishi Kwa matumaini , by the way unayo nafasi hebu jiamin

Sterehe wanazipenda ila mwisho wao mbaya wengi wameteketea kwa kuendekeza umalaya.
 
Habar wakuu wakati natafuta tafuta brash la Viatu kupekua pekua nimekuta hivi vidonge naomba kujuzwa ni nini hivi kwasabu sijawahi kuviona

Jamani naombeni majibu naona watu mna comment masihara sana naombeni jibu la kuelewek tafadhali naombeni sana majibu


AsantenView attachment 2521628
Pamoja na kuvificha huko bado Mungu kakuonesha
 
Kwa nini uanike nje mambo binafsi (siri) kwa sababu ya uvivu uliokithiri? Google ipo kwa kila mtu, na uki"google" utapata majibu bila kujitangaza na kuanika mambo ya mwenzako.
Msaidie ku google
 
Mimi nilikaotea kamoja nikakapima mziho ukasoma - nikavaa kondom nikala ,ile nimemaliza kitu kinasoma + asee nilidata faster nikamcheki mshkaji ni dr kukapima kweli asee kamewaka,nikapimwa namimi negativ,jamaa akanambia kwa uhakika meza pep,ndio nazi.eza hapa,japo nilipewa nyeupe sio hizo
Hakakulia baada ya kujua ni kaathirika?
 
Kuna demu 1 alikataa nisimle kavu, nikasema mi mzima, yeye akasisitiza tumia kinga nikagoma, nilichokutana nacho, washukuriwe madaktari, baadae namwambia anasema mi nilikwambia ukakataa
 
Kuna demu 1 alikataa nisimle kavu, nikasema mi mzima, yeye akasisitiza tumia kinga nikagoma, nilichokutana nacho, washukuriwe madaktari, baadae namwambia anasema mi nilikwambia ukakataa

Ilikuwaje?ulipiga kavu
 
Mimi nilikaotea kamoja nikakapima mziho ukasoma - nikavaa kondom nikala ,ile nimemaliza kitu kinasoma + asee nilidata faster nikamcheki mshkaji ni dr kukapima kweli asee kamewaka,nikapimwa namimi negativ,jamaa akanambia kwa uhakika meza pep,ndio nazi.eza hapa,japo nilipewa nyeupe sio hizo

Lakin majibu yanatkiwa yasomwe ndani ya dakika 15 tu
 
Niambie chochote basi
Daah una moyo sana unapata hata ujasiri wa ku comment! Mwingine hapa lazima tumbo la kuhara likushike. Hapo ndio nilipokuja kugundua kuwa kuhara sio lazima ule au unywe chakula kichafu.

Kumbe inaweza tokea gafla mvurugiko wa tumbo ukaharibika kwa kupata habari mbaya na za kuogofya kama hizi za mtoa maada. Gafla gafla tu unajikuta umeshaenda toilet zaidi ya mara 5.
Wakuu tuwe makini sana kwa wale wilioponea kwenye tundu la sindano iwe funzo.hii sikia tu kwa wenzako
 
Back
Top Bottom