Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,555
- 17,947
Habar wakuu wakati natafuta tafuta brash la Viatu kupekua pekua nimekuta hivi vidonge naomba kujuzwa ni nini hivi kwasabu sijawahi kuviona
Jamani naombeni majibu naona watu mna comment masihara sana naombeni jibu la kuelewek tafadhali naombeni sana majibu
AsantenView attachment 2521628
Mkuu hizo ni dawa za kufubaza makali ya virusi vya ukimwi..sema nae taratibu,ila usipaniko.