Hivi ni vidonge GANI?

Hivi ni vidonge GANI?

Umefanya nikakumbuke katoto fulani ka form 2 kalikua kana virusi vya ukimwi...
Hakua anajua ila alikua anasema mama yake anakunywa dawa kila siku na yeye pia huwa anampa hizo dawa...nilijisikia uchungu sana...wazazi tusiwatese watoto mkiukwaa mjitahidi msiambukize wtt muwahi huduma za afya watt wazaliwe safe...
 
Umefanya nikakumbuke katoto fulani ka form 2 kalikua kana virusi vya ukimwi...
Hakua anajua ila alikua anasema mama yake anakunywa dawa kila siku na yeye pia huwa anampa hizo dawa...nilijisikia uchungu sana...wazazi tusiwatese watoto mkiukwaa mjitahidi msiambukize wtt muwahi huduma za afya watt wazaliwe safe...
Yah asante nikweli kabisa
 
Rafiki baharia 1
Hivyo ni vidonge vya kufubaza virusi vya UKIMWI .

Je umelala na muhusika masaa sabini na mbili hayajapita ? Ikiwa ndivyo nitafute .

Je masaa sabini na mbili yamepita ila week bado ? Jipe imani sio kulala na mwathirika basi umeathirika .

Nitafurahi kama ukinijibu ila wasikutishe huo ugonjwa si lolote wala chochote.
Okoa uhai mkuu,mleta uzi anajinyea huko
 
Screenshot_20230218-163455.jpg
 
Back
Top Bottom