Hivi ni vidonge GANI?

Hivi ni vidonge GANI?

Truvada hizo mkuu! HIV au hepatitis, zote hizo hazitibiki ni kupunguza makali tu
 
Rafiki baharia 1
Hivyo ni vidonge vya kufubaza virusi vya UKIMWI .

Je umelala na muhusika masaa sabini na mbili hayajapita ? Ikiwa ndivyo nitafute .

Je masaa sabini na mbili yamepita ila week bado ? Jipe imani sio kulala na mwathirika basi umeathirika .

Nitafurahi kama ukinijibu ila wasikutishe huo ugonjwa si lolote wala chochote.
Asante mkuu me sijalala nae kweli kbas sijala nae ila nimeviona tuuh mkuu
 
Habar wakuu wakati natafuta tafuta brash la Viatu kupekua pekua nimekuta hivi vidonge naomba kujuzwa ni nini hivi kwasabu sijawahi kuviona

Jamani naombeni majibu naona watu mna comment masihara sana naombeni jibu la kuelewek tafadhali naombeni sana majibu


AsantenView attachment 2521628
Ni aina mpya na bora kabisa za ARVs.
 
Habar wakuu wakati natafuta tafuta brash la Viatu kupekua pekua nimekuta hivi vidonge naomba kujuzwa ni nini hivi kwasabu sijawahi kuviona

Jamani naombeni majibu naona watu mna comment masihara sana naombeni jibu la kuelewek tafadhali naombeni sana majibu


AsantenView attachment 2521628
Mhhh we achana na watu wa humu ndani utakufa na pressure
 
Nilishakula demu akawa analazimisha Sana nivae two condoms nikavaa,huyu aliniomba msaada nikamsaidia halafu nikamwomba penzi akawa anagoma goma baadaye akaniambia sharti nivae condom double,nilivaa nikamla baadaye akaniambia ukweli,
Sasa double kuna ladha yoyote?
 
Screenshot_20230218-161820_Google.jpg

Habar wakuu wakati natafuta tafuta brash la Viatu kupekua pekua nimekuta hivi vidonge naomba kujuzwa ni nini hivi kwasabu sijawahi kuviona

Jamani naombeni majibu naona watu mna comment masihara sana naombeni jibu la kuelewek tafadhali naombeni sana majibu


AsantenView attachment 2521628
 
Back
Top Bottom