Ohooooo.......ARVs
Ndo leo nimeona unakamoyo kagumuKila nafsi itauonja umauti
Asante mkuu me sijalala nae kweli kbas sijala nae ila nimeviona tuuh mkuuRafiki baharia 1
Hivyo ni vidonge vya kufubaza virusi vya UKIMWI .
Je umelala na muhusika masaa sabini na mbili hayajapita ? Ikiwa ndivyo nitafute .
Je masaa sabini na mbili yamepita ila week bado ? Jipe imani sio kulala na mwathirika basi umeathirika .
Nitafurahi kama ukinijibu ila wasikutishe huo ugonjwa si lolote wala chochote.
Ni aina mpya na bora kabisa za ARVs.Habar wakuu wakati natafuta tafuta brash la Viatu kupekua pekua nimekuta hivi vidonge naomba kujuzwa ni nini hivi kwasabu sijawahi kuviona
Jamani naombeni majibu naona watu mna comment masihara sana naombeni jibu la kuelewek tafadhali naombeni sana majibu
AsantenView attachment 2521628
🤣🤣🤣Unavyojitetea sasaAsante mkuu me sijalala nae kweli kbas sijala nae ila nimeviona tuuh mkuu
Mhhh we achana na watu wa humu ndani utakufa na pressureHabar wakuu wakati natafuta tafuta brash la Viatu kupekua pekua nimekuta hivi vidonge naomba kujuzwa ni nini hivi kwasabu sijawahi kuviona
Jamani naombeni majibu naona watu mna comment masihara sana naombeni jibu la kuelewek tafadhali naombeni sana majibu
AsantenView attachment 2521628
Hivi mkuu inawezekana binti wa miaka 21 akawa amezaliwa na hiv na ana afya njema?Sasa hivi vitoto vitoto under 24 muwe navyo makini
Sasa double kuna ladha yoyote?Nilishakula demu akawa analazimisha Sana nivae two condoms nikavaa,huyu aliniomba msaada nikamsaidia halafu nikamwomba penzi akawa anagoma goma baadaye akaniambia sharti nivae condom double,nilivaa nikamla baadaye akaniambia ukweli,
SawasawaNdio silala mm hata kama nimelala nae kwan ndo nimepata mpaka nikapime
Habar wakuu wakati natafuta tafuta brash la Viatu kupekua pekua nimekuta hivi vidonge naomba kujuzwa ni nini hivi kwasabu sijawahi kuviona
Jamani naombeni majibu naona watu mna comment masihara sana naombeni jibu la kuelewek tafadhali naombeni sana majibu
AsantenView attachment 2521628
Kwanini To yeye 😁Ndo leo nimeona unakamoyo kagumu
ARv ndio pepOhooooo.......
Mkuu utasababisha mleta mada aangushe sim, lakini mbona minaona kama ni PEP