Hivi ni vidonge GANI?

Hivi ni vidonge GANI?

Mimi nilikaotea kamoja nikakapima mziho ukasoma - nikavaa kondom nikala ,ile nimemaliza kitu kinasoma + asee nilidata faster nikamcheki mshkaji ni dr kukapima kweli asee kamewaka,nikapimwa namimi negativ,jamaa akanambia kwa uhakika meza pep,ndio nazi.eza hapa,japo nilipewa nyeupe sio hizo
 
Habar wakuu wakati natafuta tafuta brash la Viatu kupekua pekua nimekuta hivi vidonge naomba kujuzwa ni nini hivi kwasabu sijawahi kuviona

Jamani naombeni majibu naona watu mna comment masihara sana naombeni jibu la kuelewek tafadhali naombeni sana majibu


AsantenView attachment 2521628
Hivyo ni vya vitamini hutumika kwa wenye HIV, kila siku humezwa kimoja.
 
Mimi nilikaotea kamoja nikakapima mziho ukasoma - nikavaa kondom nikala ,ile nimemaliza kitu kinasoma + asee nilidata faster nikamcheki mshkaji ni dr kukapima kweli asee kamewaka,nikapimwa namimi negativ,jamaa akanambia kwa uhakika meza pep,ndio nazi.eza hapa,japo nilipewa nyeupe sio hizo
Kwani hizo sio PEP mkuu
 
Rafiki baharia 1
Hivyo ni vidonge vya kufubaza virusi vya UKIMWI .

Je umelala na muhusika masaa sabini na mbili hayajapita ? Ikiwa ndivyo nitafute .

Je masaa sabini na mbili yamepita ila week bado ? Jipe imani sio kulala na mwathirika basi umeathirika .

Nitafurahi kama ukinijibu ila wasikutishe huo ugonjwa si lolote wala chochote.
Mtu anatafuta brash kakuta sawa, maana yake hpo ni kwake na bidada wanaishi wote.... Sasa unadhan kuna masaa72 kweli
 
Acha kupekua mikoba ya dada zako
Ohooo

Halafu mavidonge yameshiba kwerikweri kupita kooni lazima uhisi kukwanguliwa
Kwa nini uanike nje mambo binafsi (siri) kwa sababu ya uvivu uliokithiri? Google ipo kwa kila mtu, na uki"google" utapata majibu bila kujitangaza na kuanika mambo ya mwenzako.
 
Back
Top Bottom