cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,840
- 137,550
sasa unadhan atamsave vipi? Duuuh mbna hataree hii lolAmemsave pacha
sasa unadhan atamsave vipi? Duuuh mbna hataree hii lolAmemsave pacha
Wee fanya utafiti dada, mie nakuambia ukweli.Mmmh ngumu kumeza mkuu
Samahani, kwani hamkufanya mafundisho ya ndoa na baba paroko, au sio waroma, na Kama mmefanya mafundisho basi kasahau mlichofundishwa kabla ya ndoa.Habarini za wakati huu wakuu, mimi nimeolewa na ndoa yangu ina mwaka sasa na tumebahatika mtoto mmoja.
Sasa kilofanya niandike uzi hapa ni kwamba mume wangu anapenda sana ku-hang out na marafiki ambao hawajaoa na mbali na Hilo washkaji zake hao hawajatulia tabia zao na yeye ndo akija anaanza kunihadithia mara fulan hajatulia mara vile.
Sasa mimi najiuliza ndoa yetu Bado changa kuna mambo mengi ya kujifunza hasa kwa waliotangulia Sasa utajifunza vp wakati watu wa cyle Yako hawajui hata maana ya hiyo ndoa?
Sasa ana rafiki yake huyo ndo balaa Hadi alishawahi kulala kwake mara 2 hadi nilipomwambia sitaki hiyo tabia ya kulala nje ndo akaacha, rafiki ambaye anaheshimu ndoa Yako atakupigia cm saa 6 usiku?
Au ataruhusuje ulale nje ya familia yako? Naomba wajuzi wa haya mambo wanijuze maana nashindwa kuelewa.
Asanteni
Basi sawa sorry Madame.I know him Kwenye Hilo hapana labda ungenambia michepuko
Nimechelewa kuja hapa lakini naamini kuna kitu unapaswa kukichunguza kwa makini hasa huyo rafiki yake.. Isije kuwa mna share mumeHabarini za wakati huu wakuu, mimi nimeolewa na ndoa yangu ina mwaka sasa na tumebahatika mtoto mmoja.
Sasa kilofanya niandike uzi hapa ni kwamba mume wangu anapenda sana ku-hang out na marafiki ambao hawajaoa na mbali na Hilo washkaji zake hao hawajatulia tabia zao na yeye ndo akija anaanza kunihadithia mara fulan hajatulia mara vile.
Sasa mimi najiuliza ndoa yetu Bado changa kuna mambo mengi ya kujifunza hasa kwa waliotangulia Sasa utajifunza vp wakati watu wa cyle Yako hawajui hata maana ya hiyo ndoa?
Sasa ana rafiki yake huyo ndo balaa Hadi alishawahi kulala kwake mara 2 hadi nilipomwambia sitaki hiyo tabia ya kulala nje ndo akaacha, rafiki ambaye anaheshimu ndoa Yako atakupigia cm saa 6 usiku?
Au ataruhusuje ulale nje ya familia yako? Naomba wajuzi wa haya mambo wanijuze maana nashindwa kuelewa.
Asanteni
Mumeo analala nje tena analala kwa mwanaume mwenzie..umekagua marinda yapo kweli! Je una miaka mingapi na mumeo isije kuwa tunashauri msichana na mvulana tofauti ya mwanamke na mwanaume. Huyu mumeo hajitambui na hajui maana ya ndoa. Ninachokitabili ni kuwa hapo hakuna ndoa na hamuwezi kuja kuendelea. Usizae tena vuta muda.Habarini za wakati huu wakuu, mimi nimeolewa na ndoa yangu ina mwaka sasa na tumebahatika mtoto mmoja.
Sasa kilofanya niandike uzi hapa ni kwamba mume wangu anapenda sana ku-hang out na marafiki ambao hawajaoa na mbali na Hilo washkaji zake hao hawajatulia tabia zao na yeye ndo akija anaanza kunihadithia mara fulan hajatulia mara vile.
Sasa mimi najiuliza ndoa yetu Bado changa kuna mambo mengi ya kujifunza hasa kwa waliotangulia Sasa utajifunza vp wakati watu wa cyle Yako hawajui hata maana ya hiyo ndoa?
Sasa ana rafiki yake huyo ndo balaa Hadi alishawahi kulala kwake mara 2 hadi nilipomwambia sitaki hiyo tabia ya kulala nje ndo akaacha, rafiki ambaye anaheshimu ndoa Yako atakupigia cm saa 6 usiku?
Au ataruhusuje ulale nje ya familia yako? Naomba wajuzi wa haya mambo wanijuze maana nashindwa kuelewa.
Asanteni
jamaa wanamla zero haki tena.Those people are very smart, na hasa kama hajaamua kujitangaza
Mumeo ni shoga nakuhakikishia.Nitamjaribu Hii nione ila sometimes huwa anaunganishaga huko juu Kwa juu akitoka kazini utaskia anakupigia cm Niko sehem fulan na mtu fulan hapo ukute ni saa 2 usiku labda akirudi home ni saa 6
Halafu anadai kbs ni mume wake kumbe katolewa mahari tu. Huyu kajipeleka kukaa na jamaa na jamaa hajamaliza mambo yake.Mkuu si ametolewa mahari kwanini unasema ni sogea tuishi
Kwani kuolewa si inahusisha kutoa mahari ambacho ndio kitu kikubwa
Mahari ni mahari na ndoa ni ndoa. Huyo ni sogea tukae hakuna kitu na hana adabu na familia yake huyo dada. Umalaya tu.Unajua maana ya mahari?Au na wewe ndo walewale
Kutolewa mahari sio ndoa. Ndio maana unaweza kusikia mahari imekataliwa ama imerudishwa. Ndoa ina mapito mengi.Wengine hawajui hata maana ya mahari anajua ndoa mpaka sherehe kubwa
Hapana jamaa hamtaki huyu mwanamke..mimi nilivyopata mtoto wangu wa kwanza na mke wangu nilikuwa nawahi sana kurudi nyumbani tena mapema mno. Ikiwa ni pamoja na kuangalia hali ya mama na mtoto.Kumbe mna mtoto 7 months
Jamaa itakua anakereka na harufu za maziwa huyo
Kwenu umefukuzwa? Na kwanini unaenda kuishi nae kisa umetolewa tu mahari. Rudi kwenu na eleza familia yenu kila kitu.Hajabadilika chochote sema hofu yangu ni kwamba yuko na marafiki ambao hawajatulia