Hivi ni sawa kwa mwanaume aliyeoa ku-hang out muda mwingi na marafiki ambao hawajaoa?

Mumeo analala nje tena analala kwa mwanaume mwenzie..umekagua marinda yapo kweli! Je una miaka mingapi na mumeo isije kuwa tunashauri msichana na mvulana tofauti ya mwanamke na mwanaume. Huyu mumeo hajitambui na hajui maana ya ndoa. Ninachokitabili ni kuwa hapo hakuna ndoa na hamuwezi kuja kuendelea. Usizae tena vuta muda.
Mbona mnakimbilia kwenye ushoga?? Ina maana haiwez kuwepo sababu nyingine?
Kuhusu miaka mume 33 mm 27
 
Habarini za wakati huu wakuu, mimi nimeolewa na ndoa yangu ina mwaka sasa na tumebahatika mtoto mmoja.

Sasa kilofanya niandike uzi hapa ni kwamba mume wangu anapenda sana ku-hang out na marafiki ambao hawajaoa na mbali na Hilo washkaji zake hao hawajatulia tabia zao na yeye ndo akija anaanza kunihadithia mara fulan hajatulia mara vile.

Sasa mimi najiuliza ndoa yetu Bado changa kuna mambo mengi ya kujifunza hasa kwa waliotangulia Sasa utajifunza vp wakati watu wa cyle Yako hawajui hata maana ya hiyo ndoa?

Sasa ana rafiki yake huyo ndo balaa Hadi alishawahi kulala kwake mara 2 hadi nilipomwambia sitaki hiyo tabia ya kulala nje ndo akaacha, rafiki ambaye anaheshimu ndoa Yako atakupigia cm saa 6 usiku?

Au ataruhusuje ulale nje ya familia yako? Naomba wajuzi wa haya mambo wanijuze maana nashindwa kuelewa.

Asanteni
Kidini si sawa, kishikaji ni sawa
 
Mumeo analala nje tena analala kwa mwanaume mwenzie..umekagua marinda yapo kweli! Je una miaka mingapi na mumeo isije kuwa tunashauri msichana na mvulana tofauti ya mwanamke na mwanaume. Huyu mumeo hajitambui na hajui maana ya ndoa. Ninachokitabili ni kuwa hapo hakuna ndoa na hamuwezi kuja kuendelea. Usizae tena vuta muda.
 
Mchunguze vizuri huyo mume wako, kuna kitu cha ziada anacho jihusisha na hao vijana. Na sio Jambo la kawaida kwa mwanaume mwenye familiayake kulala na/kwa mwanaume mwenzake...

Yawezekana anakuka utumbo ama analiwa utumbo.

Naamini wakubwa wamenielewa
We nawe mawazo mabaya ya nini? Huyu jamaa hajalala kwa rafiki yake, Ila rafiki yake ndo anatumika kuficha uovu..

Ni kwamba jamaa aliopoa mlupo akaingia nao lodge, afu mke akapangwa eti leo nalala kwa rafiki yangu..
 
Mimi ninachoweza kukushauri ni kwamba
Jitahidi kuwa Rafiki yake
Hata Mimi ninachelewa kurudi home ila ni Kwa vile mke wangu ana gubu sana Usiku ukiingia naanza kuwaza
Huwa wanaume tunapenda kuwa na furaha. Kama hupati furaha nyumbani utaitafuta kokote.
 
Mimi ninachoweza kukushauri ni kwamba
Jitahidi kuwa Rafiki yake
Hata Mimi ninachelewa kurudi home ila ni Kwa vile mke wangu ana gubu sana Usiku ukiingia naanza kuwaza
Huwa wanaume tunapenda kuwa na furaha. Kama hupati furaha nyumbani utaitafuta kokote.
Yaani hatujawahi gombana na ni marafiki sana ndo maana huwa ananipa story za huyo rafiki yake na hata akitoka nae ananiaga pia, sijawahi kuwa na gubu
 
We nawe mawazo mabaya ya nini? Huyu jamaa hajalala kwa rafiki yake, Ila rafiki yake ndo anatumika kuficha uovu..

Ni kwamba jamaa aliopoa mlupo akaingia nao lodge, afu mke akapangwa eti leo nalala kwa rafiki yangu..
Yaani Kwa comment hizi nimeamini watu mawazo Yao yanatumika na ibilisi mkuu..
 
Yaani Kwa comment hizi nimeamini watu mawazo Yao yanatumika na ibilisi mkuu..
Watu wanacomplicate sana vitu, hiyo ndo mbinu wanaume wengi wanatumia..

Anakutambulisha rafiki yake mmoja, tena mkiwa na shida atakuwa anakuambia amewakopesha, ili tu umwone rafiki wa maana.

Huyo ndo atakuwa chaka la kumtoa nyumbani..

Kama ambavyo ulikuwa unamtumia rafiki yako anakutoa home mkatembee na wanaume
 
Yaani hatujawahi gombana na ni marafiki sana ndo maana huwa ananipa story za huyo rafiki yake na hata akitoka nae ananiaga pia, sijawahi kuwa na gubu
Usipaniki relax
Hebu muulize nini anakosa kwako alafu ujiongeze na wewe
Kingine Usimuonyeshee kama anafanya kitu Cha ajabu sana utaharibu
Mshauri tu Kwa upole
Mwambie wewe ni Baba .... Sasa hivi heshima yako ni kubwa jaribu kufanya kama watu wanavyokuona/kukufikiria.
Mwambie Kwa upole mkiwa kitandani ila ukiwa kwenye hisia Kali
Utaona litamtoa machozi alafu unamfuta pole pole.
Hakuna mkate mgumu kwenye chai. Kumbuka hilo
Mwanamke umeumbiwa silaha nyingi sana Zitumie
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom