me and I
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 1,540
- 1,355
- Thread starter
- #181
Mkuu Sasa wewe ndo nimekuelewa maana huyo rafiki yake ana hela kidogo kuliko mume wangu Sasa utaskia ananiambia ngoja nikamchekeche huyo anitoe Leo siko poa.. asee Leo umenifumbua machoWatu wanacomplicate sana vitu, hiyo ndo mbinu wanaume wengi wanatumia..
Anakutambulisha rafiki yake mmoja, tena mkiwa na shida atakuwa anakuambia amewakopesha, ili tu umwone rafiki wa maana.
Huyo ndo atakuwa chaka la kumtoa nyumbani..
Kama ambavyo ulikuwa unamtumia rafiki yako anakutoa home mkatembee na wanaume