cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,840
- 137,556
Umesema kweli hapa.Kwahiyo wewe ndio unajiona mwenye point sana eehhh...??
Yaani wengine tusitoe michango yetu kwasababu eti wewe utaona ni upumbavu..!!
Anyway......
Hapa ndani kila mmoja yupo huru kuchangia kutokana na alivyosoma na akamuelewa mleta mada, na next time usije ukatetea ujinga wako kwasababu eti mnajiona mnajua sana kuchepuka.
Anyway, kwa mwanamke mwenye akili timamu akiambiwa na mume wake (kwamba alilala kwa rafiki yake wa kiume) lazima ajiulize maswali ya kutosha kwasababu huyo mume wake ndie nambari moja anamsema the same rafiki yake kwa mke wake....
The real gentleman alipaswa basi asingizie hata alikua club, alisafiri kikazi, alikamatwa polisi na vitu kama hizo.