Hivi ni sawa kwa mwanaume aliyeoa ku-hang out muda mwingi na marafiki ambao hawajaoa?

me and I

JF-Expert Member
Jul 8, 2016
1,540
1,355
Habarini za wakati huu wakuu, mimi nimeolewa na ndoa yangu ina mwaka sasa na tumebahatika mtoto mmoja.

Sasa kilofanya niandike uzi hapa ni kwamba mume wangu anapenda sana ku-hang out na marafiki ambao hawajaoa na mbali na Hilo washkaji zake hao hawajatulia tabia zao na yeye ndo akija anaanza kunihadithia mara fulan hajatulia mara vile.

Sasa mimi najiuliza ndoa yetu Bado changa kuna mambo mengi ya kujifunza hasa kwa waliotangulia Sasa utajifunza vp wakati watu wa cyle Yako hawajui hata maana ya hiyo ndoa?

Sasa ana rafiki yake huyo ndo balaa Hadi alishawahi kulala kwake mara 2 hadi nilipomwambia sitaki hiyo tabia ya kulala nje ndo akaacha, rafiki ambaye anaheshimu ndoa Yako atakupigia cm saa 6 usiku?

Au ataruhusuje ulale nje ya familia yako? Naomba wajuzi wa haya mambo wanijuze maana nashindwa kuelewa.

Asanteni
 
Habarini za wakati huu wakuu, mimi nimeolewa na ndoa yangu Ina mwaka Sasa na tumebahatika mtoto mmoja. Sasa kilofanya niandike uzi hapa ni kwamba mume wangu anapenda sana kuhang out na marafiki ambao hawajaoa na mbali na Hilo washkaji zake hao hawajatulia tabia zao na yeye ndo akija anaanza kunihadithia mara fulan
Mumeo ana Miaka Ngapi kwanza?
 
Mmmh, Anachofanya si sahihi labda Kama wewe Mkewe una makelele sana ndani Kiasi anakosa amani ya Kutulia kwake.

Kwanza kabisa Jiangalie wewe Mkewe uwe ni sehemu ya Furaha yake na Uhakikishe unatimiza majukumu yako Ipasavyo bila Kutegea.

Mwisho, Mumeo Anapaswa Kupunguza baadhi ya Marafiki Otherwise hao Marafiki kama Hawajaoa basi Kinachowakutanisha iwe ni mambo ya Kazi na Kama ni kupiga Story sio ifike hatua ya Kukaa huko hadi Usiku Mnene.
 
Mchunguze vizuri huyo mume wako, kuna kitu cha ziada anacho jihusisha na hao vijana. Na sio Jambo la kawaida kwa mwanaume mwenye familiayake kulala na/kwa mwanaume mwenzake...

Yawezekana anakula utumbo ama analiwa utumbo.

Naamini wakubwa wamenielewa
 
Mmmh, Anachofanya si sahihi labda Kama wewe Mkewe una makelele sana ndani Kiasi anakosa amani ya Kutulia kwake

Kwanza kabisa Jiangalie wewe Mkewe uwe ni sehemu ya Furaha yake na Uhakikishe unatimiza majukumu yako Ipasavyo bila Kutegea

Mwisho, Mumeo Anapaswa Kupunguza baadhi ya Marafiki Otherwise hao Marafiki kama Hawajaoa basi Kinachowakutanisha iwe ni mambo ya Kazi na Kama ni kupiga Story sio ifike hatua ya Kukaa huko hadi Usiku Mnene

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Yaani kuhusu mimi najitahidi na hatuna ugomvi tuko sawa na akiwa anatoka ananiaga Kabisa na sijawahi muuliza.
 
Jitahidi wewe ndio uwe company yake kubwa ya kwenda viwanja kisha uanze kumtoa huko taratibu. Jitahidi wewe ndio uwe rafiki yake mkubwa, share interest nae au support zake kisha zihamishie ndani. Sio kila akikuambia tutoke ww hutaki au upo bize sana na maisha kuliko furaha ya familia yenu.
 
Mchunguze vizuri huyo mume wako, kuna kitu cha ziada anacho jihusisha na hao vijana. Na sio Jambo la kawaida kwa mwanaume mwenye familiayake kulala na/kwa mwanaume mwenzake...
Yawezekana anakuka utumbo ama analiwa utumbo.
Naamini wakubwa wamenielewa
Sasa hapo katika kumchunguza maana simu Haina password lakini sijui huwa anafuta maana cjawah Kuta sms tata
 
Yaani kuhusu mimi najitahidi na hatuna ugomvi tuko sawa na akiwa anatoka ananiaga Kabisa na sijawahi muuliza.
Basi Jaribu Kuongea na watu wake ambao wanaweza Kumwambia juu ya Mwenendo wake Ambao wewe haupendezwi nao ili Wamuonye wao labda Kutakuwa na Mabadiliko Maana kwa Jinsi wanawake mlivyo upweke kwako Ukishika hatamu basi Unaweza kudondokea kwenye uchepukaji kitu ambacho si salama kwa Mustakabali wa Ndoa wako

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
yaani niwatenge washkaji zangu ambao nilikuwa na hang nao kabla sijaoa kisa nimeingia kwenye ndoa?, no way.

nitapunguza ratiba ya kukutana nao ila siwezi kuwatenga mazima. hao ni wanangu, wanajua madhaifu yangu, wanajua bata zangu hasa zile za gambe, kitimoto na mbuzi choma.

pia wanaijua michepuko yangu ambayo nilikuwa napiga jabla sijaoa. nawatengaje marafiki kama hao.
 
Jitahidi wewe ndio uwe company yake kubwa ya kwenda viwanja kisha uanze kumtoa huko taratibu. Jitahidi wewe ndio uwe rafiki yake mkubwa, share interest nae au support zake kisha zihamishie ndani. Sio kila akikuambia tutoke ww hutaki au upo bize sana na maisha kuliko furaha ya familia yenu.
Nitajitahid mkuu
 
yaani niwatenge washkaji zangu ambao nilikuwa na hang nao kabla sijaoa kisa nimeingia kwenye ndoa?, no way.

nitapunguza ratiba ya kukutana nao ila siwezi kuwatenga mazima. hao ni wanangu, wanajua madhaifu yangu, wanajua bata zangu hasa zile za gambe, kitimoto na mbuzi choma.

pia wanaijua michepuko yangu ambayo nilikuwa napiga jabla sijaoa. nawatengaje marafiki kama hao.
Yaani unavoongea ni dhahiri hujaoa? Punguza mihemko soma vizuri ndo ucomment maana ulichokiandika hakiendani
 
Mmmh, Anachofanya si sahihi labda Kama wewe Mkewe una makelele sana ndani Kiasi anakosa amani ya Kutulia kwake

Kwanza kabisa Jiangalie wewe Mkewe uwe ni sehemu ya Furaha yake na Uhakikishe unatimiza majukumu yako Ipasavyo bila Kutegea

Mwisho, Mumeo Anapaswa Kupunguza baadhi ya Marafiki Otherwise hao Marafiki kama Hawajaoa basi Kinachowakutanisha iwe ni mambo ya Kazi na Kama ni kupiga Story sio ifike hatua ya Kukaa huko hadi Usiku Mnene

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Umemaliza safi nzuri hii.
 
Nitajitahid mkuu
Kuna mjeda mmoja kila weekend tulikua tunakutana nae katika vibanda umiza akiwa na mke wake, tena yeye hata mtoto bado hajapata. Mi nikajua mahaba kama yote na wanapenda wote mpira, kumbe alikua akienda katika mpira basi mechi lazima itaisha saa 8 au 9 usiku. Bi dada akaona isiwe shida, kama mpira tutaangalia wote na hizo bia tutakunywa wote ila nyumbani tunarudi mapema. Mama anakula hadi jezi utadhan shabik kweli. Kifupi kuwa karibu nae akikufukuza tu ndio uanze kujua kuna namna.
 
Kuna mjeda mmoja kila weekend tulikua tunakutana nae katika vibanda umiza akiwa na mke wake, tena yeye hata mtoto bado hajapata. Mi nikajua mahaba kama yote na wanapenda wote mpira, kumbe alikua akienda katika mpira basi mechi lazima itaisha saa 8 au 9 usiku. Bi dada akaona isiwe shida, kama mpira tutaangalia wote na hizo bia tutakunywa wote ila nyumbani tunarudi mapema. Mama anakula hadi jezi utadhan shabik kweli. Kifupi kuwa karibu nae akikufukuza tu ndio uanze kujua kuna namna.
Sema tatizo mtoto mdogo ndo kwanza 7 months na usiku mnene hivo Kweli
 
Back
Top Bottom