Usafiri wa mabasi ya Mwendokasi ni kero kuu

kwitandula

Member
May 24, 2020
30
35
Nani msimamizi wa huu usafiri?hii kero ya abiria kukaa kwenye kituo zaidi ya saa moja bila usafiri hamuioni?kwa nini wanasiasa wapo kimya juu ya jambo hili linalosumbua wananchi? tunapoteza muda mwingi sana kwenye vituo,muda ambao ilibidi wagonjwa wahudumiwe na wataalamu wanaosubiri usafiri,watu wawepo kwenye shughuli zao za kujiingizia kipato au ofisi za uma kutoa huduma kwa wananchi,,wahusika wakuu mpo wapi?????

Ushauri wangu:
Rudisheni daladala,zifanye route maeneo yote mtu achague kama apande mwendokasi au lah,ila hii ya kutuacha tuteseke na kutegemea usafiri wenu tu, hamtutendei haki kabisa.
 
Serikali inayoshindwa kusimamia mradi mdogo kama huo, eti ndio iweze kusimamia trein ya mwendokas, waruhusu tu daladala zakawaida kwenda huko mwendokasi unapoita, mfano waruhusu KIBAHA/MBEZI/KIMARA/UBUNGO/MANZESE/ KALIAKOO. Dadala nazo ziwe zapita huko, au Mbezi to Moroko/Muhimbili Kisha watulie na mabasi yao.
 
Serikali inayoshindwa kusimamia mradi mdogo kama huo, eti ndio iweze kusimamia trein ya mwendokas, waruhusu tu daladala zakawaida kwenda huko mwendokasi unapoita, mfano waruhusu KIBAHA/MBEZI/KIMARA/UBUNGO/MANZESE/ KALIAKOO. Dadala nazo ziwe zapita huko, au Mbezi to Moroko/Muhimbili Kisha watulie na mabasi yao.
Ndio maana CDM waliwaambia ninyi CCM ,HAMJITAMBUI!
 
Huku kijijini kwetu huwa tunawaangalia tu kwenye video ya mwenyekiti mnavyoingilia kwenye madirisha ya daladala.Na ndiyo maana mkija kututembelea huwa tunawachinjia kuku kuwapooza na machungu ya huko mnapoishi.A living hell!
 
Kwani mlitumwa jamani kama usafiri huo ni wa shida kimeo ucheleweshi n.k n.k achaneni nao tu maana hakuna njia nyingine serikali yao imelala fofofo.
 
Raha ya mwendokasi ni kubambia misambwanda ya wanawake hadi unapiga bao
 
Nani msimamizi wa huu usafiri?hii kero ya abiria kukaa kwenye kituo zaidi ya saa moja bila usafiri hamuioni?kwa nini wanasiasa wapo kimya juu ya jambo hili linalosumbua wananchi? tunapoteza muda mwingi sana kwenye vituo,muda ambao ilibidi wagonjwa wahudumiwe na wataalamu wanaosubiri usafiri,watu wawepo kwenye shughuli zao za kujiingizia kipato au ofisi za uma kutoa huduma kwa wananchi,,wahusika wakuu mpo wapi?????

Ushauri wangu:
Rudisheni daladala,zifanye route maeneo yote mtu achague kama apande mwendokasi au lah,ila hii ya kutuacha tuteseke na kutegemea usafiri wenu tu, hamtutendei haki kabisa.
Wawape mashirika yayayojitambua kama Stagecoach, Firstbus, National express.

Hakutakuwa na hizo kero.
 
Wabinafsishe kama kawaida yao kwa sababu hata jambo dogo kama hili la mwendo kasi na lenyewe limewashinda kuendesha, ccm wakiambiwa ukweli nchi imewashinda kuongoza wana kuwahisha mbele ya hukumu
 
Wawape mashirika yayayojitambua kama Stagecoach, Firstbus, National express.

Hakutakuwa na hizo kero.
Kuna mambo mengine serikali inajitakia TU. Serikali haiwezi kuendesha huo mradi ukawa na ufanisi hata siku Moja. Ilishafeli kwenye hiyo sekta na ushahidi wa hilo upo wazi kabisa, yalikuwepo mabasi ya UDA yakatoweka, yakafufuliwa tena lakini huduma zikawa mbovu zaidi yakaanza kupaki. Sasa hivi tuna UDART kitu ni kilekile hakuna tulichojifunza huko nyuma.

Solution ni serikali kuingia ubia na sekta binafsi ili kuendesha hii huduma ya usafiri wa mabasi vinginevyo yote yatapark.
 
Adha zote hizo ni fursa kwa genge fulani serikalini
Ni kitu kinachotukwamisha, upigaji, ufisadi, wizi na ujambazi kwenye mali za umma.

Mmepewa monopoly kwa route zote muhimu bado wanashindwa tatizo ni uongozi, usimamizi, msimamiaji.

Timu, nchi ya Tanzania kwa sasa haina mtetezi, kiungo, mshambuaji, golikipa.
 
Mtu mweusi hakuna anachoweza, labda pombe na ngono!
Hiyo barabara ya kimara asubuhi foleni yake huwa inaanzia stopover, kwa mtu mwenye trip za mjini kila siku ni mateso matupu, hata uwe na gari binafsi!sijui kipi kilifanya njia 8 ziishie kimara mwisho!
 
Hiyo njia ya kkoo mpk manzese , ubungo daldala zipo ni ww kuchagua tu. ila walipokuja kuumiza wananchi ni kukataza njia ya morogoro road isitumike na daladala zinazoanzia mbezi au kimara kwenda mjini zikifika ubungo utafute njia nyingine kuelekea mjini
 
Mtu mweusi hakuna anachoweza, labda pombe na ngono!
Hiyo barabara ya kimara asubuhi foleni yake huwa inaanzia stopover, kwa mtu mwenye trip za mjini kila siku ni mateso matupu, hata uwe na gari binafsi!sijui kipi kilifanya njia 8 ziishie kimara mwisho!

Kila siku ukitokea Kimara, mbezi ni shida labda uchukue boda uunganishe na bajaji kufika kazini saa mbili au tatu asubuhi ukiwa unafanya kazi mjini.

Kwa siku usafiri tu asubuhi elfu mbili, tatu kwa kipato gani cha Mtanzania? Hujarudi nyumbani.
 
warudishe daladala tuu full stop hamna kitu ccm walishaweza kuoparete kwa miaka yote hii 60 shame on them
 
Usafiri wa umma Dar ni laana tupu. Huenda wapanda bajaj tu ndio wanaenjoy, japo bajaj nazo siku hizi zinaendeshwa na wale waendesha bodaboda wa mwanzo. Shida tupu.

Ndio maana mtu akijikusanya akapata 10m anawaza gari, yaani ili mradi asipande hizo kero.
 
Back
Top Bottom