PRESIDA TO BE..
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 301
- 199
TUTAACHA LINI HUU UNAFIKI WATANZANIA! Inasikitisha sana hapa tz kwetu, wanaotoa elimu ya ujasiria mali yeye mwenyewe kaajiriwa na ni mwoga hata kusikia neno JIAJIRI, AU HAKUNA AJIRA WAKATI YEYE ANAYO!
Tukubali kitu kimoja ni kwamba sisi watanzania ni wanafiki sana na utakuta jitu linazungumzia kujiajiri wakati lenyewe hata watoto wake anawatafutia ajira.
TUTAACHA LINI HUU UNAFIKI WATANZANIA?!!
Tukubali kitu kimoja ni kwamba sisi watanzania ni wanafiki sana na utakuta jitu linazungumzia kujiajiri wakati lenyewe hata watoto wake anawatafutia ajira.
TUTAACHA LINI HUU UNAFIKI WATANZANIA?!!