Hivi ni kwanini wanaowaambia wenzao wajiajiri wao wameajiriwa?

zitaje ili wadau wazichambue

Kuna SACCOS zinatoa mikopo yenye riba nafuu. Kuna benki zinatoa mikopo kwa wajasiriamali wadogo wadogo. Kuna NGOs zinatoa capital kwa wajasiriamali wadogo wadogo kama wakiwa na good business plan. Unaweza kopa hela kwa mtu unaemfahamu kama ni mtu wa kuaminika. Njia zipo nyingi. Mtaji sio lazima uwe wa mamilioni.
 
Mtu anayekwambia ujiajiri wakati hakupi mtaji,hakupi mkopo wala ushauri mpige kofi ondoka zako
Nb:SERIKALI IUNDE BANK MAALUMU YA KUKOPESHA VIJANA WASOMI WANAO MALIZA CHUO
Serikali haina hela ya kuunda bank nyingine. isome namba wakati unasubiri mil. 50 kila kijiji.
 
Mtu anayekwambia ujiajiri wakati hakupi mtaji,hakupi mkopo wala ushauri mpige kofi ondoka zako
Nb:SERIKALI IUNDE BANK MAALUMU YA KUKOPESHA VIJANA WASOMI WANAO MALIZA CHUO
Sema vijana mliosoma siyo VIJANA WASOMI kuna tofauti kubwa sana hapo!
 
serikali ya KJ 2005 ndio chanzo cha haya yote...

siamini kabisa kwamba nchii hii na maliasili zote, inaweza kuwa na wimbi kubwa kiasi kwa raia wake kuwa unemployed..!

KJ 2005 kasoma economics, lakini anajadili taarabulism tu serikalini....
Ameshaenda kupumzika baba wa watu!! Bila Shaka amekuja jembe unayemkubali sasa!! Ajira kibao
 
Ruge mweyewe kaajriiwa kila siku anazunguka anasema fursa yeye mwenyewe amejiajiri Rais mwenyewe ameajiriwa
 
Hatuta fikia hitimisho kwenye hili...ila niseme ivi..ujinga kukataa ushauri wa kujiajiri kisa alioutoa ni mhajiriwa.

utapokeaje ushauri wa kujiajiri kwa mtu alieajiriwa ni umpamvu wa ali ya juu sana anae lala na mgonjwa ndo anae jua ali yake mtu aliejiajiri ndo angalau naweza msikiliza me mwenyewe nimeajiliwa private lakini mziki wa kujiajiri sio wakitoto
 
Kama wewe huna ajira na una lalamika haupati kazi, una lalamika kila siku kwamba ofisi zina upendeleo kwenye kutoa ajira kwa nini usijiajiri? Kujiajiri ni mbadala wa kuajiriwa. Mwenzako kama kaajiriwa ina maana hana tatizo la ajira kama asio na ajira kabisa. Ila mwisho wa siku mtu anaweza kukushauri tu ila wewe ukiona upambane na kutafuta tu ajira go ahead its up to you ila kama mtu huna ajira kabisa ni vizuri kufikiria pande zote (ajira na kujiajiri).
Well said
 
Inategemea unamwongelea mtu wa level gani ya elimu. Tatitizo la ajira maana yake nini? Mtu wa chuo akitaka kujiajiri lazima mtaji uwe mkubwa kidogo ukilinganisha na darasa la saba hata kama wote wanamawazo sawa ya fursa. Kazi zingne za kujiajiri ni za kipuzi sana tusishushe sana elimu ya kibongo hata kama haiwafanye vijana kujiajiri.
Pole sana kwa ufinyu wa mawazo,we endelea kung'ang'ana na vyeti na kutaka mtaji mkubwa,huyo unaemwita la saba atakuacha mbali sana kwa kuanza na mtaji ambao kwako ni mdogo,ndo tatizo la nyie mnaojiita wasomi mnadharau sana vitu vidogo ambavyo vina faida kubwa kisa eti una kaelimu ka chuo ko unataka kama ni biashara iwe kubwa jua hata mbuyu ulianza kama mchicha.
 
Hivi kuna mtoto wa rais wa awamu yoyote, makamu wa rais, waziri mkuu au hata mawaziri wa kawaida anayefundisha shule za kata?
 
Sababu mwenye shibe hamjui mweny njaa pia ni rahisi kusema fanya kitu fulani kuliko kukifanya hicho kitu wewe mwwnyewe
 
Back
Top Bottom