UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,157
- 10,718
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!
Usije ukarogwa ukatoa ushirikiano wa aina yeyote kwa Mtanzania, hakuna mtu mpuuzi na mjinga kama mtanzania. Bado utampatia msaada wa bure lakini bado atakudondoshea zigo la lawama!.
Mtanzania ndiye mtu pekee duniani asiyethamini jasho la mtu.
1. Mapenda lawama
2. Majuaji (Mengi majinga)
3. Malimbukeni
4. Mapenda Vitonga
5. Yanapenda misaada kila wakati.
6. Hayajali
7. Mazuzu
Kila kitu yanataka bure bure tu,ukisema huduma unayotoa uchaji kidogo gharama utasikia yanasema "Mnaenda kupigwa"
Yaani jitu linataka utumie nguvu zako na muda wako kulifaidisha lenyewe!.
Niliona hata ule mchakato wa yule jamaa aitwaye ERNEST BONIFACE MAKULILO (EBM) wa kuwajazia watanzania DV LOTTERY alikuwa anachaji gharama ya Tsh 20,000/= per each Person,bado mitanzania ikaanza kulalamika!.
Aisee nilibaki naishangaa hii mitanzania namna ilivyo mipumbu-avu,kama hutaki kutoa hela kwanini usijaze mwenyewe?,Yaani mtu aache muda wake akujazie wewe bure?,Mitanzania ni mijitu ya ajabu sana!
Kuna mengine humu baada ya kuvutiwa na simulizi zangu,jitu linakifata pm unalipa namba unadhani basi uenda litakutafuta kwa mambo ya msingi,ila lenyewe linakupigia linakwambia "Bro tuonane basi tupige stori mbili tatu"
Mimi "Utanilipa kiasi gani kwa muda nitakaopoteza kuja kupiga stori na wewe"
Lenyewe "Ahahahaha,yaani bro kupiga stori kweli hadi nikulipe?"
Mimi "Kwahiyo niache shughuli zangu nije tu tupige stori!"
Lenyewe "Tubadilishana mawazo kaka"
Mawazo kwanini usibadilishane na mkeo au mumeo?,yaani mtu aache shughuli zake aje abadilishane na wewe mawazo?,Hivi huu ujinga mtaacha lini?,hamjui muda ni pesa?
Narudia tena ndugu zangu!
Usije ukarudia kupoteza muda kwa mtanzania kwa kumsaidia bure!.
Chaji pesa hata kama ni kuonana ili hiyo pesa imuume na yeye pia atajifunza kitu!.
Mengine yako huko mikoani unakuta linakutumia picha ya nyumba WhatsApp linataka kila kitu ulifanyie bure!.
Utasikia!
Lenyewe "Mwanangu kuna nyumba nimekutumia WhatsApp nimeichukua Instagram kuna jamaa wameposti wanauza ramani yake"
Linaendelea "Nimekutumia na namba yao,hebu nisaidie uonane nao wakuonyeshe hiyo ramani wakwambie na bei imesimamaje"
Yaani jitu linashindwa kuelewa kila kitu hapa mjini ni hela lenyewe linataka ulifanyie bure,Kwanini hao watu usiwasiliane nao wewe mkamalizana huko nyinyi wenyewe?
Jingine niliona linamsumbua jamaa mmoja,eti
Lenyewe "Bro huko kwako hakuna vyumba vya kupanga"
Bro wake "Vyumba vya kupanga kwanini usitafute dalali?"
Lenyewe "Bro sina hela,hebu jaribu kuniangalizia halafu utanishitua!"
Bro wake alibaki kulalamika tu na kuliona ni jitu jinga sana,yaani aache mambo yake ya msingi aanze kukutafutia wewe nyumba?,Kwanini usimtafute dalali akakutafutia nyumba?
Matanzania ni mapenda vitonga!,Sijui kwanini hayataki kubadirika!
Usije ukarogwa ukatoa ushirikiano wa aina yeyote kwa Mtanzania, hakuna mtu mpuuzi na mjinga kama mtanzania. Bado utampatia msaada wa bure lakini bado atakudondoshea zigo la lawama!.
Mtanzania ndiye mtu pekee duniani asiyethamini jasho la mtu.
1. Mapenda lawama
2. Majuaji (Mengi majinga)
3. Malimbukeni
4. Mapenda Vitonga
5. Yanapenda misaada kila wakati.
6. Hayajali
7. Mazuzu
Kila kitu yanataka bure bure tu,ukisema huduma unayotoa uchaji kidogo gharama utasikia yanasema "Mnaenda kupigwa"
Yaani jitu linataka utumie nguvu zako na muda wako kulifaidisha lenyewe!.
Niliona hata ule mchakato wa yule jamaa aitwaye ERNEST BONIFACE MAKULILO (EBM) wa kuwajazia watanzania DV LOTTERY alikuwa anachaji gharama ya Tsh 20,000/= per each Person,bado mitanzania ikaanza kulalamika!.
Aisee nilibaki naishangaa hii mitanzania namna ilivyo mipumbu-avu,kama hutaki kutoa hela kwanini usijaze mwenyewe?,Yaani mtu aache muda wake akujazie wewe bure?,Mitanzania ni mijitu ya ajabu sana!
Kuna mengine humu baada ya kuvutiwa na simulizi zangu,jitu linakifata pm unalipa namba unadhani basi uenda litakutafuta kwa mambo ya msingi,ila lenyewe linakupigia linakwambia "Bro tuonane basi tupige stori mbili tatu"
Mimi "Utanilipa kiasi gani kwa muda nitakaopoteza kuja kupiga stori na wewe"
Lenyewe "Ahahahaha,yaani bro kupiga stori kweli hadi nikulipe?"
Mimi "Kwahiyo niache shughuli zangu nije tu tupige stori!"
Lenyewe "Tubadilishana mawazo kaka"
Mawazo kwanini usibadilishane na mkeo au mumeo?,yaani mtu aache shughuli zake aje abadilishane na wewe mawazo?,Hivi huu ujinga mtaacha lini?,hamjui muda ni pesa?
Narudia tena ndugu zangu!
Usije ukarudia kupoteza muda kwa mtanzania kwa kumsaidia bure!.
Chaji pesa hata kama ni kuonana ili hiyo pesa imuume na yeye pia atajifunza kitu!.
Mengine yako huko mikoani unakuta linakutumia picha ya nyumba WhatsApp linataka kila kitu ulifanyie bure!.
Utasikia!
Lenyewe "Mwanangu kuna nyumba nimekutumia WhatsApp nimeichukua Instagram kuna jamaa wameposti wanauza ramani yake"
Linaendelea "Nimekutumia na namba yao,hebu nisaidie uonane nao wakuonyeshe hiyo ramani wakwambie na bei imesimamaje"
Yaani jitu linashindwa kuelewa kila kitu hapa mjini ni hela lenyewe linataka ulifanyie bure,Kwanini hao watu usiwasiliane nao wewe mkamalizana huko nyinyi wenyewe?
Jingine niliona linamsumbua jamaa mmoja,eti
Lenyewe "Bro huko kwako hakuna vyumba vya kupanga"
Bro wake "Vyumba vya kupanga kwanini usitafute dalali?"
Lenyewe "Bro sina hela,hebu jaribu kuniangalizia halafu utanishitua!"
Bro wake alibaki kulalamika tu na kuliona ni jitu jinga sana,yaani aache mambo yake ya msingi aanze kukutafutia wewe nyumba?,Kwanini usimtafute dalali akakutafutia nyumba?
Matanzania ni mapenda vitonga!,Sijui kwanini hayataki kubadirika!