Hivi Neno asante/pole baada ya tendo la ndoa bado lipo?

Hivi Neno asante/pole baada ya tendo la ndoa bado lipo?

First Born

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2011
Posts
5,317
Reaction score
1,485
Hii iko very personal ila kwa ujumla nahisi wanawake wa Siku hizi wamepunguza sana mahaba.... ataenda kufanya mapenzi kwa lengo la kupata chochote, mwanaume atahangaika weeeee mshindo ukifika wanaanza kutoa macho kupewa chochote....
sababu ni kwamba wamama wa Siku hizi hawawafundishi binti zao au ni mapenzi ya dhati kupungua?
 
Kiukweli me lazima nitoe pole cjui kwann
 
Hii iko very personal ila kwa ujumla nahisi wanawake wa Siku hizi wamepunguza sana mahaba.... ataenda kufanya mapenzi kwa lengo la kupata chochote, mwanaume atahangaika weeeee mshindo ukifika wanaanza kutoa macho kupewa chochote....
sababu ni kwamba wamama wa Siku hizi hawawafundishi binti zao au ni mapenzi ya dhati kupungua?
ni jana tu nilisema asante na pole hahaha
 
Kwani pole hiyo inahusikaje pale wakati tumehusika kwenye starehe?

Bora upate busu tu yatosha lakini hii ya kupeana pole nahisi ndio mwanzo wa kuibiana.
 
Kuna mchepuko mmoja unaiyo tabia. Kila mda wakati wa tendo utamsikia pole mara asante. Dh anaboa kweli
 
35041645.jpg
 
loh!! mara ya mwisho kupewa pole ni mwaka 1989... hukooo....
 
Back
Top Bottom