Bacary Superior
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 3,721
- 1,515
Unataka asante au ugegede papuchii?
kwamba kama sijakukuna vizuri hunipi asante ama? Halafu unaning'ong'aKama hunogi nazi asante na pole vya nini mkuu?!
Kiukweli me lazima nitoe pole cjui kwann
Mimi kila nikimaliza napewa asante.Hii iko very personal ila kwa ujumla nahisi wanawake wa Siku hizi wamepunguza sana mahaba.... ataenda kufanya mapenzi kwa lengo la kupata chochote, mwanaume atahangaika weeeee mshindo ukifika wanaanza kutoa macho kupewa chochote....
sababu ni kwamba wamama wa Siku hizi hawawafundishi binti zao au ni mapenzi ya dhati kupungua?
Oa acha uzinzi,ukioa mkeo atakua anakupa asante na pole kila mnapomaliza tendo ila usitegemee kupata asante na polewakati umwmchosha yu mwenzio hujamfikisha anapostailiHii iko very personal ila kwa ujumla nahisi wanawake wa Siku hizi wamepunguza sana mahaba.... ataenda kufanya mapenzi kwa lengo la kupata chochote, mwanaume atahangaika weeeee mshindo ukifika wanaanza kutoa macho kupewa chochote....
sababu ni kwamba wamama wa Siku hizi hawawafundishi binti zao au ni mapenzi ya dhati kupungua?
kumbe wewe huwa ni KE!ni jana tu nilisema asante na pole hahaha
inategemea mkuu na jinsi unavyopiga kazi hata mie huwa naambiwa asante babaHii iko very personal ila kwa ujumla nahisi wanawake wa Siku hizi wamepunguza sana mahaba.... ataenda kufanya mapenzi kwa lengo la kupata chochote, mwanaume atahangaika weeeee mshindo ukifika wanaanza kutoa macho kupewa chochote....
sababu ni kwamba wamama wa Siku hizi hawawafundishi binti zao au ni mapenzi ya dhati kupungua?