Ni kama vile anawatazama kupitia side mirror, huku akishushia mvinyo mmoja matata.
sio tu, anawacheki, bali anasubiri kuona kama kuna ambao wataweza kufikia hata robo ya hustle zake?
kifupi anatamani waliopokea kijiti washindwe,ili ile kauli ya tajiri akimsaidia maskini itimie. kwamba bila mie leo hii angekuwa wapi.
lakini sioni akifua dafu kwa roho za watu wenye nia njema na taifa lao wakiamua ku set. mipango iliyochagizwa na Mungu.
ila pamoja na yote yanayoimbwa mtaani, naona ili Mbowe awe na amani ni lazima aungane na wenzie,
vingenevyo ukimya wake ni mateso pia kwake.