Hivi Mwanza nalo Jiji?

Hivi Mwanza nalo Jiji?

Acheni kumpuuza mleta mada kwa kutoka mapovu mengi Sijaona hata mmoja aliyeweza kueleza maana ya jiji ni nini, ila Nijuavyo pamoja mambo yote kuwepo mwanza hayo aliyoyataja mleta mada yanatakiwa yawepo katika jiji lolote. Labda mwambie hivyo vitu vitakuja baada ila kuitwa jiji hizo huduma zilitakiwa kuwepo, huwezi kuita duka la kawaida super market.
Hivi mwanza hakuna supermarket kabisa??
 
Kaka kuna huduma sehemu ikiitwa jiji LAZIMA iwe nazo, I have travelled ----- wewe, and i travel, services kama hizo ni lazima if you want to be really urban, no wonder watu wa mwanza hawana ile urban touch. Mbona Arusha wanazo? Dar naiweka pembeni.? yani nikiwa mwanza najiona kama nipo mbali sana na ulimwengu, so out of touch. My opinion usinimind.
Duh
 
Mwambie huyo , dar ni metropolis. Majiji yote yana basic services na ziada, we kama unaona movie siyo ishu , ndio maana wa Mwanza. Hujazoea, mshamba. wengine its just part of life. Mbona nikiwa Arusha i get all that? I shop at cool stores, i go to theatres? i feel global?
Rudi chuga basis mboyoyo za nini
 
Hivi mwanza hakuna supermarket kabisa??
Huyu DOPE ana hela basi ama dish limeyumba anatusumbua tu. Amekariri kila supermaket mjini ni ya narkumat, utahangaika wewe uliza wenyenji wakuongoze. Upo jijini na siyo ulikotoka.
 
Ukiwa darasa moja na watu wa sampuli hii haki ya nani unaonekana una kipaji cha juu sana.
 
70% ya wananchi was Mwanza wanaishi milimani ambako hazifiki ambulance, fire wala hakina huduma za maji na afya
80%Ya wamasai wamazurura, kuuza dawa za kienyeji, na kupaka kucha rangi na wachache wanaujira wa kulinda majumba ya matajiri.
 
Kwa taarifa yalo hakuna mlima usiokuwa na barara ya kuingia na kutoka ndani ya jiji la mwanza.
 
Huu mji mkubwa mbona unaniangusha sana? Mbona hauna hadhi kama Dar au Arusha?<br><br>Juzi nikiwa hapa kikazi, nikapata mail nimekuwa admitted kwenye chuo fulani hivi , ambapo walikuwa wanaitaji nifanye mtihani wa kuangalia proficiency yangu ya kiingereza, IELTS. Kwakuwa nimebanwa, nikajua mwanza nalo jiji nikaingia online, naona centers ni Dar na Arusha tu. duh!<br><br>Basi nikaona sitaweza, nikaamua nikapumzike basi ata movie theatre, holla, nikauliza hata ka Nakumatt mwanza hamna? Very dissapointed na hiki kijiji. Hivi mnaliita jiji kwa maana gani lakini? arghh mbona arusha mji mdogo lakini upo very international mnamatatizo gani nyie mangosha?

Dopeboy. Kindergaten gani hiyo ya kufanya mtihani jmn??. Nani alikufanyia huo mtihani. Crips zinapatikana kila duka JIJINI Mwanza si lazima nakumatt. Ukianza primary uje uweke uzi wenye kusomeka. P- mbaf jazz band
 
80%Ya wamasai wamazurura, kuuza dawa za kienyeji, na kupaka kucha rangi na wachache wanaujira wa kulinda majumba ya matajiri.

Wamasai wanapatikana Arusha, Manyara, Mara na Kenya pia.. Na ni wachache sana ambao wanatoka Arusha.. Arusha ina makabila kama Wameru na Waarusha na wageni ni wachagga, wambulu na wapare.. Arusha Mjini ni mji wa Waarusha na Wameru si wamasai..

Turudi kwenye hoja, asilimia 70 ya wakazi wa jiji la Mwanza wanakaa milimani kwenye makazi duni mpaka mawe yanawaangukia na kufariki ndani ya nyumba zao.. Ikitokea emergency hakuna njia ya kutoa msaada wa haraka zaidi ya kubeba mtu kwenye machela mpaka mjini.. hakuna maji salama na huko nilimani hakuna vyoo kwahiyo watu wanakunya ovyo na wengine kunya ziwani. Ziwa Viktoria ndio ziwa chafu kuliko maziwa yote duniani..
 
Vigezo vya jiji sio hivyo mkuu ila hakuna jiji ambalo wakazi wake wanaelemishwa kuwa na vyoo...ni siasa tuu ila mwanza hawana hadhi ya kuwa jiji...watu waishi katika jiji wasijitambue watumie ziwa kama choo...jiji la wapi hilo...
 
Huu mji mkubwa mbona unaniangusha sana? Mbona hauna hadhi kama Dar au Arusha?<br><br>Juzi nikiwa hapa kikazi, nikapata mail nimekuwa admitted kwenye chuo fulani hivi , ambapo walikuwa wanaitaji nifanye mtihani wa kuangalia proficiency yangu ya kiingereza, IELTS. Kwakuwa nimebanwa, nikajua mwanza nalo jiji nikaingia online, naona centers ni Dar na Arusha tu. duh!<br><br>Basi nikaona sitaweza, nikaamua nikapumzike basi ata movie theatre, holla, nikauliza hata ka Nakumatt mwanza hamna? Very dissapointed na hiki kijiji. Hivi mnaliita jiji kwa maana gani lakini? arghh mbona arusha mji mdogo lakini upo very international mnamatatizo gani nyie mangosha?
Hivi pamoja na usomi wako na kuwa admitted kwenye chuo fulani AMAIZING hujui sifa za sehemu kuitwa Jiji?
Ni kweli kwamba sifa za Jiji lazima liwe na:-
  1. Centre za IELTS
  2. Nakumatt
  3. Movie Theatre
Mkuu hauko Serious, Jitathimini tena
 
Back
Top Bottom