Hivi Mwanza nalo Jiji?

Hivi Mwanza nalo Jiji?

Unadhani Mwanza kutokuwa na hivo ulivovitaja ndo vigezo vya kuwa / kutokuwa jiji?
Jiji gani bhanaa?,vinyesi kila kona,wakoma wamejaa kila kona wametupwa na serekali wala hawatibiwi coz madawa hakuna,typhoid imezagaa lake victoria yote kwa sababu mavi yote ya jiji yanatiririka humo,malaria ndio bingwa Mwanza kachukua kombe.
 
Usituletee siasa za EL akiwa CCM aliitwa Waziri Mkuu Aliyejiuzulu sasa kahamia CDM anaitwa Waziri Mkuu Mstaafu.
Wewe ngosha,hivi usipomtukana Lowassa unapungukiwa kitu?,jamaa ni matawi ya juu,umchukie usimchukie humpunguzii kitu,zaidi unapata laana kutukana mzee anaeweza kuwa baba au babu yako,kama ni fisadi mwambie ngosha mwenzako ampeleke ile MAHAKAMA YENU YA MAFISADI mlioahidi,mmekalia kunywa uji wa chumvi na malimao,sukari imekuwa Tanzanite,na bado,hayo ni manyunyu tu mpaka mkishakwisha kwa KWASHKOOO NDIO MTAACHA KUKURUPUKA.
 
kuna watu wengine ni vichwa vya mende...huyu naye amekuwa admitted kama mwanachuo hajui hata sifa ya jiji ... dx..psy.

Tx...milembe
Hivi nyie kina Ndokeji na kina Makoye na kina Mayombo na kina Jilala etc,etc,mkiona mtu anakosoa mwanza,mnaanza kuhara uharo,asiekubali kukosolewa ni mtwana au mtumwa.
 
we kaka acha majungu!!
afu hizo tabia za michicha au visamvu

wanaume badala muwaze vitu vya maana
mnakuja kuleta mada za kijinga humu.. hivi ni nani kawaroga??
ndo mana mnaitwa wanaume wa Dar
 
Pamoja na usomi wako na kuchaguliwa kuingia chuo hujui nini maana na Jiji???

Hebu rudi shule ujue maana ya Jiji kwanza. ...
Kwa hiyo na wewe umejiunga na kaka zako kina Shilinde na KINA Bogohe na kina Shija,kina Ndilizu,kina Kahungwa baasi wote ni kuitetea Mwanza hata kama kuna mapungufu eti? Wahindi wamemaliza samaki woote ziwa Nyanza halafu wamewajengea sanamu ya samaki anarusha maji,mkiisha shiba MICHEMBE mnajazana kuangalia samaki anarusha maji huku mnaimba wimbo wenu wa TUNAJIGOMBOLA NGOMBOOOO,eti tumejikomboa,.,,.....kwa kitu gani?
 
we kaka acha majungu!!
afu hizo tabia za michicha au visamvu

wanaume badala muwaze vitu vya maana
mnakuja kuleta mada za kijinga humu.. hivi ni nani kawaroga??
ndo mana mnaitwa wanaume wa Dar
Sasa na wewe Muhindi wa Bombay,mmeshaiba maliasili ya samaki wa ziwa Nyanza wote na pesa mnapeleka Canada na USA,UK,malipo kwa Wasukuma ni lile sanamu la samaki linarusha maji,ama kweli nyie Wahindi ndio maana huwa mnachomwa moto mkifa,haya sasa umeungana na Wanyantuzu humu kumuandama mleta mada,duuh nyie Magabachori nuksi,yaani mnajifanya mnawapeeeeenda sana Wasukuma huku mnawaita MAGOLO.
 
Elimu ya Darasa la Tano ya Kutambua Jiji, Mji, Manispaa etc inakushinda halafu unajifanya mwanachuo.. fikiria kabla ya kutoa thread... kwa akili yako ungekuwa unafikiria wala usingejiunga na JF na kama ulivyojiunga basi ubaki kusoma comments na thread za GTs tu.
Wewe kweli saa mbovu,tena saa yenyewe inaitwa MAKOYE,imetengenezwa na Mwanamalindi kwenye kangara.
 
Sasa na wewe Muhindi wa Bombay,mmeshaiba maliasili ya samaki wa ziwa Nyanza wote na pesa mnapeleka Canada na USA,UK,malipo kwa Wasukuma ni lile sanamu la samaki linarusha maji,ama kweli nyie Wahindi ndio maana huwa mnachomwa moto mkifa,haya sasa umeungana na Wanyantuzu humu kumuandama mleta mada,duuh nyie Magabachori nuksi,yaani mnajifanya mnawapeeeeenda sana Wasukuma huku mnawaita MAGOLO.
nafikiri una njaaa..
ngoja futari..
sijakuelewa kabisa
 
nafikiri una njaaa..
ngoja futari..
sijakuelewa kabisa
Hapana sina njaa,mimi sijafunga,huwa nafunga quaresma,hiyo ni tosha kwangu,ila wewe umeweka picha ya gabacholi kwenye avatar yako,kwa hiyo wewe ni gabacholi,kama siyo basi unawafagilia magabacholi,na ndio maana wamekujengea sanamu ya samaki anarusha maji,na wewe unachekelea he he heeeee jiji letu la mwanza TWAHILAGA MAMI.
 
we kaka acha majungu!!
afu hizo tabia za michicha au visamvu

wanaume badala muwaze vitu vya maana
mnakuja kuleta mada za kijinga humu.. hivi ni nani kawaroga??
ndo mana mnaitwa wanaume wa Dar
He he heee hivi hujui tabia za visamvu sasa hivi ni dili?,watu wanalazimisha wenzao wale kisamvu.
 
na kama walizubaa kipindi ambacho wao ndo walikuwa wasomi pekee...wasahau kabisa kutoa raisi kipindi hiki ambacho makabila yote yana watu wenye degree
Degree za pale SAUT Malimbe Nyasaka nyigi za kununua na zingine za chupi,au umesahau?
 
Back
Top Bottom