Hivi Mwanza nalo Jiji?

Hivi Mwanza nalo Jiji?

Mtuachie jiji letu kila siku kuuponda tu mji wetu cha kushangaza kila siku mnamiminika kuja mwanza kilichowashinda huko kwenu si uhaba wa fursa ndio maana mnakimbilia kwetu
 
Halafu mtu akitoka dar au huko Arusha akikaa mwanza wiki mbili huwa hatamani kabisa kurudi dar au arusha!! Huwa ni kwa nn? Acheni mwanza iitwe mwanza aisee!!!
 
Mijitu mingi ni ya hovyo kweli wewe umetoka porini kwenu huko umekuja mwanza si ungeendelea kukaa porini kwenu
 
Kama sifa mojawapo ya kuwa jiji ni wanaume wazima kuwakimbia panya badala ya kukabiliana nao acha tu tuendelee kuwa kijiji.
Kama sifa mojawapo ya kuwa jiji ni maduka makubwa kama mitaa na mwanaume mzima kumuita mwanaume mwenzio bilionea kwa sababu anaendesha forester na akaunti ya milioni 2 benki acha tu tuendelee kuwa kijiji.
Kula chips kwa tooth pick usisahau haa haa aaaa
 
People from the north are so dumb....umeiona hiyo movie theater yako sasa
 
Huu mji mkubwa mbona unaniangusha sana? Mbona hauna hadhi kama Dar au Arusha?<br><br>Juzi nikiwa hapa kikazi, nikapata mail nimekuwa admitted kwenye chuo fulani hivi , ambapo walikuwa wanaitaji nifanye mtihani wa kuangalia proficiency yangu ya kiingereza, IELTS. Kwakuwa nimebanwa, nikajua mwanza nalo jiji nikaingia online, naona centers ni Dar na Arusha tu. duh!<br><br>Basi nikaona sitaweza, nikaamua nikapumzike basi ata movie theatre, holla, nikauliza hata ka Nakumatt mwanza hamna? Very dissapointed na hiki kijiji. Hivi mnaliita jiji kwa maana gani lakini? arghh mbona arusha mji mdogo lakini upo very international mnamatatizo gani nyie mangosha?
Kwani dar na arusha zina hadhi gani!?...hamna mji wa maana bongo hii kigezo kikubwa cha kuwa jiji hapa ni wingi wa watu tu
 
Huu mji mkubwa mbona unaniangusha sana? Mbona hauna hadhi kama Dar au Arusha?<br><br>Juzi nikiwa hapa kikazi, nikapata mail nimekuwa admitted kwenye chuo fulani hivi , ambapo walikuwa wanaitaji nifanye mtihani wa kuangalia proficiency yangu ya kiingereza, IELTS. Kwakuwa nimebanwa, nikajua mwanza nalo jiji nikaingia online, naona centers ni Dar na Arusha tu. duh!<br><br>Basi nikaona sitaweza, nikaamua nikapumzike basi ata movie theatre, holla, nikauliza hata ka Nakumatt mwanza hamna? Very dissapointed na hiki kijiji. Hivi mnaliita jiji kwa maana gani lakini? arghh mbona arusha mji mdogo lakini upo very international mnamatatizo gani nyie mangosha?
Tanzania yote Ni Kijiji.

Hata huko unakosema Kuna movie theaters Ni Kijiji pia.

Mipango miji Tanzania nzima Ni hovyo hovyo.
 
Kwani dar na arusha zina hadhi gani!?...hamna mji wa maana bongo hii kigezo kikubwa cha kuwa jiji hapa ni wingi wa watu tu
Good point. Mleta mada mshamba Sana.

Badala ya kwenda kutafuta orptunities Rocky city analeta taarabu.
 
Back
Top Bottom