Hivi mwanaume unakosaje gari jamani?

Hivi mwanaume unakosaje gari jamani?

Unajua kuna vitu vinashangaza sana. Dume zima mpaka miaka hamsini huna hata gari la mabati. Sa unafanya kazi ya nini. Lengo la kazi upate vitu vizuri banah!

Yaani dume zima unakosa hela ya usafiri kama huu[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 516377au basi hata magari ya mbebez na vitoto kama haya[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 516378

Au

View attachment 516379

Wanaume wengi wa jf ni wanapenda usafiri huu
View attachment 516380

Fanyeni kazi mpaye hata matoroli ya kutembelea khaaa...

Kumbuka kitu pekee cha kumtuliza mwanamke ni
View attachment 516381

Na

View attachment 516382
Mapenzi hata mmbwa anajua

Dr. H. Rweyemamu
Hivi Mwanamke unakosaje akili chanya jamani

Unakuta janamke hata halifikirii kwa kina linakurupuka tu na maneno ya kipuuzi puuzi tu aaaaagh mjirekebishe hata kwa mbali bhna
 
Hii thread ni kwa ajili ya kututoa mapovu wanaume[emoji23] [emoji23]

Hata mimi sina gari hapa nyumbani ila gari langu bado liko yard sijalilipia ili kulichukua[emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] na kweli mkuu umenena kila MTU ana gari tatizo kulilipia[emoji1] [emoji3] [emoji2]
 
Umeolewa?

Unajua kuna vitu vinashangaza sana. Dume zima mpaka miaka hamsini huna hata gari la mabati. Sa unafanya kazi ya nini. Lengo la kazi upate vitu vizuri banah!

Yaani dume zima unakosa hela ya usafiri kama huu[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 516377au basi hata magari ya mbebez na vitoto kama haya[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 516378

Au

View attachment 516379

Wanaume wengi wa jf ni wanapenda usafiri huu
View attachment 516380

Fanyeni kazi mpaye hata matoroli ya kutembelea khaaa...

Kumbuka kitu pekee cha kumtuliza mwanamke ni
View attachment 516381

Na

View attachment 516382
Mapenzi hata mmbwa anajua

Dr. H. Rweyemamu
 
Maisha ni Uamuzi wa Mtu mwenyewe vile anavyotaka kuishi na anavyoona inafaa kuishi. Uamuzi wa kununua gari uko hivi kuna watu hawawezi kununua kutoka na kukosa fedha lakini kuna watu wana uwezo wa kununua lakini magari kwao siyo kipaumbele.
Ukiwa mwanamke au mwanaume ni lazima uwe na mtoto au watoto sasa kati yao mbona kuna matasa, nakadhalika....
 
Ungeeleweka kama ungeuliza Hivi mwanaume unakosaje "mashine"? hiki ndicho kinakufanya uitwe mwanaume,kama unadhani mwanaume ni gari tembea utakutana na wanaume bandia wenye magari yao lakini wameolewa na wanaume wenye "mashine".Mwanaume siyo gari mkuu,mwanaume "mashine".
 
Unajua kuna vitu vinashangaza sana. Dume zima mpaka miaka hamsini huna hata gari la mabati. Sa unafanya kazi ya nini. Lengo la kazi upate vitu vizuri banah!

Yaani dume zima unakosa hela ya usafiri kama huu[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 516377au basi hata magari ya mbebez na vitoto kama haya[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 516378

Au

View attachment 516379

Wanaume wengi wa jf ni wanapenda usafiri huu
View attachment 516380

Fanyeni kazi mpaye hata matoroli ya kutembelea khaaa...

Kumbuka kitu pekee cha kumtuliza mwanamke ni
View attachment 516381

Na

View attachment 516382
Mapenzi hata mmbwa anajua

Dr. H. Rweyemamu
Uwiiii! haaaaaa! ila kweli hata kivits 😀😀😀😀😀
 
Wac
Mwenyewe nina langu Toyota Voltz unijie wanguwangu huna usafiri nakutimua upumbavu sitaki.
Wacharike bwana kha! Matumbo makubwa mnaminana kwenye Daladala. Poleni lakini maana hii mada kiboko
 
Ungeeleweka kama ungeuliza Hivi mwanaume unakosaje "mashine"? hiki ndicho kinakufanya uitwe mwanaume,kama unadhani mwanaume ni gari tembea utakutana na wanaume bandia wenye magari yao lakini wameolewa na wanaume wenye "mashine".Mwanaume siyo gari mkuu,mwanaume "mashine".
We baki na hayo mawazo yako ya tanga mtindi afu nikutane na mbebez wako nikiwa ndani ya mkoko... [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Maisha ni Uamuzi wa Mtu mwenyewe vile anavyotaka kuishi na anavyoona inafaa kuishi. Uamuzi wa kununua gari uko hivi kuna watu hawawezi kununua kutoka na kukosa fedha lakini kuna watu wana uwezo wa kununua lakini magari kwao siyo kipaumbele.
Ukiwa mwanamke au mwanaume ni lazima uwe na mtoto au watoto sasa kati yao mbona kuna matasa, nakadhalika....
Nikipita na gari hata ww sikutongozi. Unajaa mwenyewe kwenye kumi na tisa zangu
 
Eeeeeeeeeeeeh, kumbe kipimo cha Dume zima ni Kuwa na gari, je kama mtu anamiliki Nyumba za Kutosha na miradi? mie nahisi we uwezo wako mdogo wa kupambanua mambo
Mmm! nyumba na gari vyote ni basic needs
 
Katika maisha kila mtu ana kipaumbele chake mtu anaweza asiwe na gari akajenga nyumba akapangisha atufanyi vitu kwa kufata mkumbo kuwa fulan ana gari na mm niwe nalo lengo kuuza sura mwisho gari inataka service na vipuli linakula pesa na halizalishi so kila mtu na malengo yake hapa dunian watu uwezo wa kununua magari wanao ila si miongoni mwa vipaumbele vyao!
 
Back
Top Bottom