Hivi mwanaume unakosaje gari jamani?

Hivi mwanaume unakosaje gari jamani?

Inasikitisha sana...

Maisha ya mtu ni siri yake mwenyewe... Na kila jambo lina sababu zake...



Cc: mahondaw
 
Hawa k hawa ni wakudanganya tu atainuka asema gari gari wewe unamwambia nataka ndege basi kishalegea unajipigia mpaka anakosa pumzi unarudi zako

Atatulia wiki moja na kuanza nimekumic
 
Ungekuwa unatumia hizo ngonjera kutafuta hela. Ungelinisapoti now
Mi staki gari nshajizoelea maisha ya kuchanja mbuga, kupanda daladala, Bodaboda na bajaji au siku mojamoja nikipewa lifti basi Alhamdullillah. Hizi ngonjera nazitumia kwa watu kama nyie mnao complicate life na mnaoishi kwa kuigana.
Live your life and be happy.
 
Katika vitu nisivoviwazia kuvifanya maishani mwangu ni kuwa na Gari..

sioni ule uhitaji wa gari saana kwa upande wangu, ntabanana mwendokasini mpaka basi, siwezi kuacha kufanya mambo ya msingi nikanunue gari, yani halina kipaumbele kabisa kwangu.
huna hela
ungekuwa na hela usingeng'ang'ania kunusishana shombo la feri na vikwapa kwa mwendokasi
 
Unajua kuna vitu vinashangaza sana. Dume zima mpaka miaka hamsini huna hata gari la mabati. Sa unafanya kazi ya nini. Lengo la kazi upate vitu vizuri banah!

Yaani dume zima unakosa hela ya usafiri kama huu
View attachment 516377au basi hata magari ya mbebez na vitoto kama hayaView attachment 516378

Au

View attachment 516379

Wanaume wengi wa jf ni wanapenda usafiri huu
View attachment 516380

Fanyeni kazi mpaye hata matoroli ya kutembelea khaaa...

Kumbuka kitu pekee cha kumtuliza mwanamke ni
View attachment 516381

Na

View attachment 516382
Mapenzi hata mmbwa anajua

Dr. H. Rweyemamu
KUNA JAMAA ANA NYUMBA 4 Dar ila huwa anatumia taxi au daladala....... Hapo Unasemaje? Ulishawai Kutembea Duniani hasa Nchi za Ulaya??? Watu Wengi Hawanunui Magari Bali Hutumia Baiskeli na Train au Mabasi ya Abiria. Usimjaji Mtu maana hujui bank ana sh ngapi......
 
We baki na hayo mawazo yako ya tanga mtindi afu nikutane na mbebez wako nikiwa ndani ya mkoko...
Usiendekeze sana mkoko mkuu, utaishia kwenye obesity na hatimaye diabetes na hypertension na mwishowe sexual dysfunction na hatimaye kugeuka joka la kibisa,punguza sedentary life style siku nyingine tembea kwa mguu na kupanda public transport.
 

Kwa maneno yako tu inaelekea umekua katika maisha ya kitajiri...
Watu wana hiyo miaka hamsini hawajui kesho watakula nini, wapo kwenye nyumba za kupanga, alafu unawaambia kuhusu kumiliki gari!

Wewe uliebahatika kupata mshukuru Mungu...

Uzi wako umenihuzunisha saaan!!! Na ndani yake umejaa majivuno na kebehi.
 
c0a6fddaa157b9b39357632235a4dd07.jpg
Nyie ndio mnasababisha watu wafikie hatua hii.
 
Yap! The poor chap needs a father figure's piece of advice!
The rich chap needs to work hard to get more dough enough to afford even a passo! Talking of father figure's pieces of advice...you have one now! Kazi kwako.. Ingest it, digest it, absorb it but never egest it.
 

Kwa maneno yako tu inaelekea umekua katika maisha ya kitajiri...
Watu wana hiyo miaka hamsini hawajui kesho watakula nini, wapo kwenye nyumba za kupanga, alafu unawaambia kuhusu kumiliki gari!

Wewe uliebahatika kupata mshukuru Mungu...

Uzi wako umenihuzunisha saaan!!! Na ndani yake umejaa majivuno na kebehi.
Labda unatania, waliokulia kwenye familia za kitajiri hawako hivyo. Huyu ni team malimbukeni!
 
bila shaka kwa maneno yako we ni limbukeni na umekulia maisha ya taabu sana ila umetumia mwili wako kupata unafuu kidogo wa maisha ndo maana unaongea pumba MTU aliyeelimika au mwenye mafanikio yaliyotokana na jitihada anajua changamoto za utafutaji hawezi kuwa na mbwembwe za kijinga namna hii
 
Back
Top Bottom