Hivi mwanaume unakosaje gari jamani?

Hivi mwanaume unakosaje gari jamani?

Nikinunua gari loan board wakijua ninaweza kuamka asubuhi nikakuta wapo mlangoni wananingoja
 
Mi wangu huu
Sina habari na gari kwa sasa..
c8d189200484808bbc9930aba55c862c.jpg
Kumbe we boda boda. Tena eti ya boss wako.
Pikipiki za waha hizo.
Za wanaume rijali ni kama

images-18.jpeg
 
Nikinunua gari loan board wakijua ninaweza kuamka asubuhi nikakuta wapo mlangoni wananingoja
Ukitegemea serikalini pekee magari utayaona barabarani tu. Jiongeze
 
acha kuvikiria kwa kutumia mat*ko tumia akili. we umeambiwa wabebez wote wanataka magari uber kibao zimejaa mjini, kingine mwanaume mashine
 
Eeeeeeeeeeeeh, kumbe kipimo cha Dume zima ni Kuwa na gari, je kama mtu anamiliki Nyumba za Kutosha na miradi? mie nahisi we uwezo wako mdogo wa kupambanua mambo
 
acha kuvikiria kwa kutumia mat*ko tumia akili. we umeambiwa wabebez wote wanataka magari uber kibao zimejaa mjini, kingine mwanaume mashine
Kaa na mashine yako wakati hawara yako akituona wenye magari analowa hata kabla sijamtongoza.
 
Eeeeeeeeeeeeh, kumbe kipimo cha Dume zima ni Kuwa na gari, je kama mtu anamiliki Nyumba za Kutosha na miradi? mie nahisi we uwezo wako mdogo wa kupambanua mambo
Dr. H. Rweyemamu angalia jina ndiyo ujue anaongea mtu wa aina gani
 
Back
Top Bottom