WirelessBrain
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 980
- 1,351
Ndio akili yako ilipoishia. Hiyo gari itakulisha uzeeni?
Mheshimiwa umeamua kuchekesha watu au upo serious???Unajua kuna vitu vinashangaza sana. Dume zima mpaka miaka hamsini huna hata gari la mabati. Sa unafanya kazi ya nini. Lengo la kazi upate vitu vizuri banah!
Yaani dume zima unakosa hela ya usafiri kama huu
View attachment 516377au basi hata magari ya mbebez na vitoto kama hayaView attachment 516378
Au
View attachment 516379
Wanaume wengi wa jf ni wanapenda usafiri huu
View attachment 516380
Fanyeni kazi mpaye hata matoroli ya kutembelea khaaa...
Kumbuka kitu pekee cha kumtuliza mwanamke ni
View attachment 516381
Na
View attachment 516382
Mapenzi hata mmbwa anajua
Dr. H. Rweyemamu
Huyo aliyening'inia kwenye daladala lazima atakuwa wewe.Unajua kuna vitu vinashangaza sana. Dume zima mpaka miaka hamsini huna hata gari la mabati. Sa unafanya kazi ya nini. Lengo la kazi upate vitu vizuri banah!
Yaani dume zima unakosa hela ya usafiri kama huu
View attachment 516377au basi hata magari ya mbebez na vitoto kama hayaView attachment 516378
Au
View attachment 516379
Wanaume wengi wa jf ni wanapenda usafiri huu
View attachment 516380
Fanyeni kazi mpaye hata matoroli ya kutembelea khaaa...
Kumbuka kitu pekee cha kumtuliza mwanamke ni
View attachment 516381
Na
View attachment 516382
Mapenzi hata mmbwa anajua
Dr. H. Rweyemamu
Haha tujitahidi tu kwa kweli auntTufanye fanye basi aunt yake na sisi tuchangishane tununue kagari![]()
![]()
![]()
![]()
Utadhari wametiwa achari,ila mtoa mada ana majibu yanayovunja mbavu wallahiUmeona watu wakiguswa walivyo na maneno.![]()
![]()
![]()