Hivi mwanaume unakosaje gari jamani?

Hivi mwanaume unakosaje gari jamani?

Kwani hiyo Gari Nita Kuwa nayo siku natiwa ktk jeneza safari ya kabulini? Kwangu kumuamini mwenyezi mungu na kutenda Matendo mazuri inafosha na sio hayo mambo ya Gari au pkpk
 
NAOMBA NICHEKE KDG
hiv mwanaume kutokua na Gari ww inakuuma nn? unataka lift? n matter of priorities. Hana gari akaamua awe na private jet au boat. Au umekariri kutokua na Gari basi n umaskin.
 
Katika vitu nisivoviwazia kuvifanya maishani mwangu ni kuwa na Gari..

sioni ule uhitaji wa gari saana kwa upande wangu, ntabanana mwendokasini mpaka basi, siwezi kuacha kufanya mambo ya msingi nikanunue gari, yani halina kipaumbele kabisa kwangu.
 
Back
Top Bottom