Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,494
- 176,574
Jirani hata mimi nilikuwa na mpango wa kukuuliza the same qn.hivi mtani tumegombana? mbona hujanipa kadi ya mwaliko?
Jirani hata mimi nilikuwa na mpango wa kukuuliza the same qn.hivi mtani tumegombana? mbona hujanipa kadi ya mwaliko?
Umaskini ugonjwa mbaya sanaMkuu sasa unaanza kukufuru kwaiyo unaona watu wasiokuwa na usafiri ni kutikana na ujinga wao sio? Basi kwa Watu wenye Iman wanaamini ya kuwa Mali na Maisha mazuri mtoaji ni MwenyeziMungu na humpa amtakaye ?wangapi ktk Matajiri wakubwa ambao wameishia Darasa 7,Fm 4 na wengine hawajasoma Kabisa Njoo Green City uone haya!!
Alafu kujigamba ktk mitandao kwamba unagari au Nyumba Nzuri au Maisha yako ni Mazuri huo ni Ushamba na Ulimbukeni lini umemsikia mtu kama Bakhresa akijisifia kwenye Mitandao ya kijamii
Sorry we ni mchungaji. Mbona hauna haiba ya akina lusekelo and co.Mkuu sasa unaanza kukufuru kwaiyo unaona watu wasiokuwa na usafiri ni kutikana na ujinga wao sio? Basi kwa Watu wenye Iman wanaamini ya kuwa Mali na Maisha mazuri mtoaji ni MwenyeziMungu na humpa amtakaye ?wangapi ktk Matajiri wakubwa ambao wameishia Darasa 7,Fm 4 na wengine hawajasoma Kabisa Njoo Green City uone haya!!
Alafu kujigamba ktk mitandao kwamba unagari au Nyumba Nzuri au Maisha yako ni Mazuri huo ni Ushamba na Ulimbukeni lini umemsikia mtu kama Bakhresa akijisifia kwenye Mitandao ya kijamii
Nyie mnajulikana kwa Masifa hata pale chuoni SUA kuna Dkt. alikuwa anajisifu sana kwamba yeye anafedha za kutosha ikawa anauliza maswali darasani watu wakijibu hasahasa Ladies anawapa fedha haoni hasara kutumia laki 1 au 2 kugawa ili tu asifiwe naona mkuu na wewe ndo unafuata nyenendo zake!!!Umaskini ugonjwa mbaya sana
La hasha sio mchungaji !Sorry we ni mchungaji. Mbona hauna haiba ya akina lusekelo and co.



Hapana, nipo tu busy nanukisha watu vijasho kwenye daladala hahaNgoja nitafute popcorn kabisa.
Heaven Sent hivi wewe una gari?
Sio kosa langu mimi wewe kuwa house girl. Wakati tunasoma nyie mlikuwa mnafanya nini.We ujinga wako wa kibiashara huo peleka huko nina kazi nalipwa elfu arobaini kwa mwezi sa gari la makuti nanunua?! We kufikiri ni zero kumbe!?!
Hapana, nipo tu busy nanukisha watu vijasho kwenye daladala haha
