holygrail
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 1,303
- 598
Unajua kuna vitu vinashangaza sana. Dume zima mpaka miaka hamsini huna hata gari la mabati. Sa unafanya kazi ya nini. Lengo la kazi upate vitu vizuri banah!
Yaani dume zima unakosa hela ya usafiri kama huu[emoji116][emoji116][emoji116]
au basi hata magari ya mbebez na vitoto kama
Wanaume wengi wa jf ni wanapenda usafiri huu
Fanyeni kazi mpaye hata matoroli ya kutembelea khaaa...
Kumbuka kitu pekee cha kumtuliza mwanamke ni
Na
Mapenzi hata mbwa anajua
Dr. H. Rweyemamu
Yaani dume zima unakosa hela ya usafiri kama huu[emoji116][emoji116][emoji116]
Wanaume wengi wa jf ni wanapenda usafiri huu
Fanyeni kazi mpaye hata matoroli ya kutembelea khaaa...
Kumbuka kitu pekee cha kumtuliza mwanamke ni
Na
Mapenzi hata mbwa anajua
Dr. H. Rweyemamu