Hivi mtu anazinduaje Mbuga?

...tumekua watu wa comedy duniani tunaonekana vituko ivi kweli mbuga inazinduliwa bila kuwepo mkuu wa poli simba chui mamba na fisi ila wanahudhuria watu waliovaa suti sasa hapo ndo utajua mnyama aliezinduliwa kavaaje!
 
Hah hahahahahaha wanazindua mbuga..... Hivi haya mambo ya hovyohovyo mbona jk hakuwa akiyafanya?
 
Mgeni rasmi mheshimiwa raisi anakata utepe makofi tafadhalii [emoji1547][emoji1547][emoji1547]
 
Mtalii gani ataenda kung'atwa na Ndorobo si bora aende Serengeti
 
Wewe PUMBAVU Ni bora ungekaa kimya tusingejua ujinga wako. takataka kabisa.
 
Hapana haitawekezana , nadhani ingekuwa busara zaidi watumie neno Burigi badala ya Burigi-Chato kama Ilivyo Serengeti au Ruaha Hifadhi hizi zimejumuisha Wilaya kadhaa kuweka Wilaya moja inaonekana ni Upendeleo!
Kwani burigi ni wilaya?

Burigi inapatikana muleba biharamulo Kwa asilimia 90
 
Nmecheka sanaaa
 
Kwann kabla ya hapo hiyo mbuga ilikua inajulikana rasmi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…