Hivi Mengi ni Team Lowassa?

Hivi Mengi ni Team Lowassa?

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,828
Kuna tetesi zimeenea hapa Arusha kuwa yule anayeitwa kama 'tajiri mzalendo' ni mmoja wa wafanyabiashara na matajiri wanaomfadhili ndugu Lowassa.

Mengi kumfadhili Lowassa sio kosa bali ni vizuri ikawa wazi kama anavyotanabaisha mgombea ndugu Lowassa kwamba 'simama uhesabiwe'

Kwa mwenye kufahamu vizuri uswahiba huu wa watu hawa atajuze ili tuondokane na tetesi.

Pasco njoo huku!
 
Last edited by a moderator:
Wacha wadau watujulishe maana hizi tetesi .................
 
Itakuwa kweli maana mpinzani mkubwa wa Lowassa ni Makongoro.....

Habari za Makongoro hazitamkwi kabisa ITV.

Isitoshe mamvi kateka media zote....kiukweli NAIONA TANZANIA MPYA KUPITIA MAKONGORO, ambapo rais anaingia madarakani na HAKUNA WADHAMINI AU WAPIGA DILI WANAOMDAI.

Vita ya kupambana na VIBAKA ni kubwa..
 
umeshakunywa chimpumu asubuhi,
Itakuwa kweli maana mpinzani mkubwa wa Lowasa ni Makongoro.....habari za Makongoro hazitamkwi kabisa ITV..
Isitoshe mamvi kateka media zote....kiukweli NAIONA TANZANIA MPYA KUPITIA MAKONGORO, ambapo rais anaingia madarakani na HAKUNA WADHAMINI AU WAPIGA DILI WANAOMDAI...
Vita ya kupambana na VIBAKA ni kubwa..
 
umesahau mara hii MENGI alikuwa upande gani wakati wa RICHMOND? aliigeuza ITV kuwa kama mali ya akina SITTA na ole sendeka

umeshasahau ugomvi wa fisadi Nyangumi na FISADI papa///
 
Itakuwa kweli maana mpinzani mkubwa wa Lowasa ni Makongoro.....habari za Makongoro hazitamkwi kabisa ITV..
Isitoshe mamvi kateka media zote....kiukweli NAIONA TANZANIA MPYA KUPITIA MAKONGORO, ambapo rais anaingia madarakani na HAKUNA WADHAMINI AU WAPIGA DILI WANAOMDAI...
Vita ya kupambana na VIBAKA ni kubwa..
Soon tutarudi TBC!!
 
umesahau mara hii MENGI alikuwa upande gani wakati wa RICHMOND? aliigeuza ITV kuwa kama mali ya akina SITTA na ole sendeka

umeshasahau ugomvi wa fisadi Nyangumi na FISADI papa///
Sijasahau mkuu na ndio maana nikaleta huu uzi.
 
Kuna tetesi zimeenea hapa Arusha kuwa yule anayeitwa kama 'tajiri mzalendo' ni mmoja wa wafanyabiashara na matajiri wanaomfadhili ndugu Lowassa.

Mengi kumfadhili Lowassa sio kosa bali ni vizuri ikawa wazi kama anavyotanabaisha mgombea ndugu Lowassa kwamba 'simama uhesabiwe'

Kwa mwenye kufahamu vizuri uswahiba huu wa watu hawa atajuze ili tuondokane na tetesi.


Pasco njoo huku!

Unauliza Makelele Gerezani Kariakoo?
 
Sio Mengi tu bali Watanzania wote no Team Lowassa.

Hakiyanani Bila Hiyo Picha Hapo Ktk Avatar Ningekubatiza Lile Jina Langu La Kimsamiati. Hiyo Picha IMEKUOKOA Sana Mkuu Na Usiitoe Tafadhali.
 
Katika vitu ambavyo media zote zitashindwa ni kumsafisha Lowasa. Kwa hili huhitaji kutumia nguvu sana kulijua. Anguko la Lowasa kwenye hili ni kubwa. Mengi kama wafanyabiashara wengi wanaogopa nguvu ya chama tawala na anaweza kung'ata sasa hivi. Ila siku huyu mtu akianguka atapulizia alipopang'ata na atarudi kundini.

Tamko la Tanzania Private Sector Foundation (ambamo Mengi ni mwanachama mkubwa) juu ya ufisadi unavyoua na kuathiri sector binafsi lilikuwa bold sana. Tamko hilo si rafiki kwa mtu kama Lowasa ambaye haamini Kuwa rushwa na ufisadi ni tatizo kubwa linalotakiwa kupewa nafasi ya kwanza ili nchi hii iendelee. Kwa ujumla tamko linasema Bila kuondoa rushwa na ufisadi kukuza sector binafsi au kuondoa umaskini ni ndoto. Huu msimamo ni tofauti na Lowasa kama zilivyo tofauti mbingu na nchi.
 
Mengi siku zote anaangalia faida kwenye biashara zake halali na haramu. Imebidi sasa apatane na Rostam kwa ajili ya Lowassa. Siku za karibuni kalalamika Ikulu kumfanyia hujuma .
Anajua wale ni team Membe au anti Lowassa .
Mimi binafsi naona akili yake ipo kwenye vitalu vya gesi .. Labda Lowassa kampa ahadi hiyo .
Lakini akumbuke kwamba hao wanaweza kuja kumgeuzia kibao wakishapata . Ndiyo ataanza tena kulialia eti maisha yake yapo hatarini .. Huyu ni fisadi kama mafisadi wengine tu.
 
Sio Mengi tu bali Watanzania wote ni Team Lowassa.


Nani kakudanganya, kaeni na lowasa wenu mbovu wa akili na mwili,maana hawezi hata kutoa hotuba ya maana anatetemeka tu.rais wetu ni mzee wa kazi.
 
Kuna tetesi zimeenea hapa Arusha kuwa yule anayeitwa kama 'tajiri mzalendo' ni mmoja wa wafanyabiashara na matajiri wanaomfadhili ndugu Lowassa.

Mengi kumfadhili lowassa sio kosa bali ni vizuri ikawa wazi kama anavyotanabaisha mgombea ndugu lowassa kwamba 'simama uhesabiwe'

Kwa mwenye kufahamu vizuri uswahiba huu wa watu hawa atajuze ili tuondokane na tetesi.

Pasco njoo huku!

Mods heshima kwenu....!
Mkuu Meningitis, kusema ukweli kuna vitu vingine huwa vinasemwa tuu kwa madhumuni ya kitu kinachoitwa 'power consolidation', yaani kwa vile Mzee Mengi is a very powerful man, mtu yoyote mwenye kutafuta uongozi for the sake of gaining the powers, lazima atafanya alliances na the powerful ones, na hata asipofanya yeye, the hao 'the powerful ones' watamfuata kutaka alliances kwa sababu in politics, you never know atakuwa nani, hivyo ukijialign mapema you are safe na hivyo ndivyo wanavyofanya wafanya biashara wote wakubwa!.

Hebu fikiria jinsi Mengi na Rostam walivyotukanana kwenye ile vita ya Fisadi Papa na Fisadi Nyangumi!, halafu juzu hapa watu hawa wamekumbatiana hadharani na kukaa meza moja!.

Nijuavyo mimi Mzee Mengi ni kada wa CCM na yuko huru kumuunga mkono mtia nia yoyote na kumsupport kwa hali na mali bila kukiuka kanuni yoyote, ila pia nawajua baadhi ya makada wa CCM, (ukimuondoa Sabodo ambae ameisupport Chadema wazi wazi) wanaoisupport Chadema kwa siri!.

Kwenye politics hakuna urafiki wa kudumu wala uadui wa kuduma kuna urafiki tuu wa ki maslahi tuu, hivyo utashangaa hizo team Lowassa, team Membe team sijui nani, mgombea akiishapatikana zote zinakuwa kitu kimoja kumsupport!, kambi zote zinavunjwa, inatengenezwa kambi moja kubwa inayoitwa "the winning coalition", watu wanatinga tena ikulu kama kawa!.

Pasco
 
umesahau mara hii MENGI alikuwa upande gani wakati wa RICHMOND? aliigeuza ITV kuwa kama mali ya akina SITTA na ole sendeka

umeshasahau ugomvi wa fisadi Nyangumi na FISADI papa///

Ameisharudi Mengi kwa Lowassa, saiz fisadi nyangumi na fisadi papa wapo pamoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom