meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Kuna tetesi zimeenea hapa Arusha kuwa yule anayeitwa kama 'tajiri mzalendo' ni mmoja wa wafanyabiashara na matajiri wanaomfadhili ndugu Lowassa.
Mengi kumfadhili Lowassa sio kosa bali ni vizuri ikawa wazi kama anavyotanabaisha mgombea ndugu Lowassa kwamba 'simama uhesabiwe'
Kwa mwenye kufahamu vizuri uswahiba huu wa watu hawa atajuze ili tuondokane na tetesi.
Pasco njoo huku!
Mengi kumfadhili Lowassa sio kosa bali ni vizuri ikawa wazi kama anavyotanabaisha mgombea ndugu Lowassa kwamba 'simama uhesabiwe'
Kwa mwenye kufahamu vizuri uswahiba huu wa watu hawa atajuze ili tuondokane na tetesi.
Pasco njoo huku!
Last edited by a moderator: