nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Hapo umeboronga mkuu, katiba inatamkaje juu ya mamlaka ya ya Rais was Zanzibar?Rais wa Zanzibar bado ni raia wa Tanzania.
Na rais ana power za kumtuma Mtanzania yoyote kumuwakilisha nje ya nchi kama akijisikia kufanya hivyo