Hivi kwanini wali wa mkaa ni mtamu kuliko ule wa 'rice cooker'?

Yaani mkuu mkombozi wangu kuruka kamba.
Lakini nisipokula acha kabisaaaaa namkaribia asha boko.
Eating good is my hobbie.
Kuna siku mtu alinikuta napika wale dagaa wa Mwanza akasema hawa dagaa au maini
Naomba nikutembelee korona ikiisha
 
Ndio maana chakulabya msibani au kwenye sherehe za kienyeji ni mtamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana kabisaaaa na kitu kinachotoka humo.
Wanaita masufuria ya shaba
amu catering.jpeg
 
Ni kweli mkuu na kutokujua kubalance maji ya kupikia wali.
Ninapika chakula cha kuuza ijumaa.

Nina rice cooker za kilo 3 mbili na moja kwa ajili ya matumizi yangu ya kifamilia ya kilo moja na nusu.

Na chakula changu wala huwezi jua kuwa nimepikia kwa rice cooker hao wanaopikia kuni na mkaa ninawakalisha vibaya mno.

Inanisaidia mambo mengi sana na kuokoa mda.
Zinakausha poa kabisa na ukoko wa chini kama kawa.

Huku unajipika huku napika roast,huku naendelea na kuzalisha biashara yangu ingine tofauti na chakula hicho.

Kuna siku mdada mmoja ana hotel alikuwa mteja wangu akataka niende kuwafundisha.

Nilimuambia nakuja saa 3 tupike mpaka saa 6 nimemaliza unasambaza.
Nimefika kweli saa 3 nilijisahau nilijua ni kama kwangu mambo fasta fasta.
Weee mpaka kumaliza kupika ni saa 8 mchana.

Na ni chakula kimoja tu.
Mchuzi haukukaangwa ukaiva ikabidi tulipue maana wateja walishaanza kucancel order.

Nikasema sasa huyu inabidi aanze kuandaa chakula saa 12 ili aendane na muda.
Halafu ni hatari sana basi tu mtu unapika unazunguka na mijiko ya mikaa kila pende.


Hii iko kisaikolojia. Wali wa rice cooker ni mtamu balaa na unaukoko mlaini kinoma.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kuona utamu wa kiporo cha wali mkuu.
Kiukweli nakulaga basi tu nikiwa sina option au nikiona hakuna mlaji.
Kiporo cha wali maharage ya nazi mmmmmh ila kinakuaga kitamu nikila kwa mama ake Culture tu, sijui kwanini,

Wengine viporo ndio sehemu ya maisha yetu, unapika wali wa wiki nzima kazi ni kupasha moto.
 
Nami pia ndo nachokiona hiko.
Lakini kwa karne hii matumizi ya kuni nia adhabu sana kuzipata hizo kuni na pia ile harufu ya Moshi ukijumlisha na macho kutoa machozi mhhhh.

Last Christmas nilipika biriani kwenye kuni.
Haloooo moto wa kuni nao ni mkali tu kama gas ila niliipata pata.
Lakini biriani ilitoka poa sana.
Rafiki kuni ni changamoto sijawahi kuexperience kwa kupika ila i can imagine mateso yake,

Biriani
Btw sijawahi kulipenda Birian la Kihindi naona kama wabongo tunapatia sana ivii.
 
Kuni ni changamoto sana aiseee.
Hasa ukiwa huna jiko la kisasa la kuni.
Ile kupikia na mafiga nje kwenye mchanga.
Nimeexpeience lakini ni shughuli aiseee.
Biriani la kihindi wana upishi wao wanachanganya humo humo wali na nyama.
Sisi tunapika tofauti.
La kwetu ni hili
Rafiki kuni ni changamoto sijawahi kuexperience kwa kupika ila i can imagine mateso yake,

Biriani
Btw sijawahi kulipenda Birian la Kihindi naona kama wabongo tunapatia sana ivii.
Sasa kwa sotojo hilo utakosaje kulipenda
paja.jpeg
 

Attachments

  • paja.jpeg
    paja.jpeg
    68.9 KB · Views: 1
Si ufungue restaurant tu
Hongera
Kuni ni changamoto sana aiseee.
Hasa ukiwa huna jiko la kisasa la kuni.
Ile kupikia na mafiga nje kwenye mchanga.
Nimeexpeience lakini ni shughuli aiseee.
Biriani la kihindi wana upishi wao wanachanganya humo humo wali na nyama.
Sisi tunapika tofauti.
La kwetu ni hili Sasa kwa sotojo hilo utakosaje kulipenda View attachment 1425747

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli unabaki palepale Africa Ndiyo sehemu salama kwa binadamu kuishi ukijifanya Mzungu utazunguka.
Wasalaam,
Mimi bwana huwa napikia wali kwenye Rice Cooker lakini juzi nimeenda kumtembelea dada moja ni Mzenji wali wake kwenye mkaa na wakati unapikwa nikasikia harufu ile nzuri nzuri kabisa na wali wake ulivyotoka aisee niliona kabisa utofauti na ule wa Jiko la mzungu. Sasa wadau ili wali uwe vizuri ni lazima nifanye mabadiriko au mimi ndiyo sijui kupika ???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuni ni changamoto sana aiseee.
Hasa ukiwa huna jiko la kisasa la kuni.
Ile kupikia na mafiga nje kwenye mchanga.
Nimeexpeience lakini ni shughuli aiseee.
Biriani la kihindi wana upishi wao wanachanganya humo humo wali na nyama.
Sisi tunapika tofauti.
La kwetu ni hili Sasa kwa sotojo hilo utakosaje kulipenda View attachment 1425747
Nimemtembelea Aroma of Zanzibar leo nimeona aliweka pishi la Mandi, sikujua kama ni rahisi kupika vile,
Nataka nilijaribu siku nikipata muda,

Wewe unalimudu?
 
  • Thanks
Reactions: amu

Similar Discussions

Back
Top Bottom