Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,159
Hahahaha inawezekana.sababu unakua na njaa sana
Hahahaha inawezekana.sababu unakua na njaa sana
Mami niliwahi kula mandi kariakoo mtaa wa livingstone kwa wasomali wamoja hivi hotelini eti sikulipenda hata niliona ni wali tu na soup pengine recipe yao ilikuwa mbaya ikasababisha ikawa tasteless lakini cha ajabu ile hotel inajazaga sana watu wanafata mandi.Nimemtembelea Aroma of Zanzibar leo nimeona aliweka pishi la Mandi, sikujua kama ni rahisi kupika vile,
Nataka nilijaribu siku nikipata muda,
Wewe unalimudu?
Hiyo hotel naijua kumbe bado ipo?Mami niliwahi kula mandi kariakoo mtaa wa livingstone kwa wasomali wamoja hivi hotelini eti sikulipenda hata niliona ni wali tu na soup pengine recipe yao ilikuwa mbaya ikasababisha ikawa tasteless lakini cha ajabu ile hotel inajazaga sana watu wanafata mandi.
Mimi haikunivutia hata hii ilipelekea nikalose interest nayo.
Pika tuone inakuwaje? Ulishawahi kuula ukaipenda?
Nasubiria mami nionjeHiyo hotel naijua kumbe bado ipo?
Mimi sio wao tu, chakula cha wasomali sikiwezi kiufupi hawajui kupika kile tunachotaka sisi,
Niliwahi kula mara kadhaa kwa waarabu na wazanzibar niliipenda sana ila sikufatilia inapikwaje mpaka nilipoona jana,
Nikipika nitakutumia uonje .
Nenda kale Biriani.Sasa leo ijumaa ,nipeni ushauri nile wali Nazi + maharage Nazi kwa Mama Saidi
au niende kula biriani kwa mustapha
au Mandi pale Lumumba
Ama pilau la butiama
Mizuka km yote ya kula mchele Leo
Nipe location la wapi ndio zuri ,RAIA wanakua wengi ? au uje nilipo unipeleke ?Nenda kale Biriani.
Wala usipate shida tuna member mwenzetu humu humu anapika biriyani na delivery anafanya unaweza kumuungisha,Nipe location la wapi ndio zuri ,RAIA wanakua wengi ? au uje nilipo unipeleke ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo makitu mandi,biriani nikila naendesha kwa speed kali sana...sijui ni mimi peke yangu? 😬 😬 ....najilipuaga siku zikingine lakini Flagly inakuwa mfukoniSasa leo ijumaa ,nipeni ushauri nile wali Nazi + maharage Nazi kwa Mama Saidi
au niende kula biriani kwa mustapha
au Mandi pale Lumumba
Ama pilau la butiama
Mizuka km yote ya kula mchele Leo
HahahahaHayo makitu mandi,biriani nikila naendesha kwa speed kali sana...sijui ni mimi peke yangu? ....najilipuaga siku zikingine lakini Flagly inakuwa mfukoni
Hahahaha, sawaWala usipate shida tuna member mwenzetu humu humu anapika biriyani na delivery anafanya unaweza kumuungisha,
amu
Hicho kicheko kimeongea mengi sana,
Tumbo lako halipatani na viungo, ila biriyani la kiswahili angalau wanaweka viungo vichache sio hao wahindi, waarabu na wasomali eish kama ugomvi.Hayo makitu mandi,biriani nikila naendesha kwa speed kali sana...sijui ni mimi peke yangu? ....najilipuaga siku zikingine lakini Flagly inakuwa mfukoni
Lipi zuri sasaTumbo lako halipatani na viungo, ila biriyani la kiswahili angalau wanaweka viungo vichache sio hao wahindi, waarabu na wasomali eish kama ugomvi.
Binafsi napenda la kiswahili tamu sanaaa hasa liwe biriyani la kuku wa kienyeji, yummy
HahahahaBinafsi napenda la kiswahili tamu sanaaa hasa liwe biriyani la kuku wa kienyeji, yummy
Kweli kabisa,nilishatambua hilo.....asante sanaTumbo lako halipatani na viungo, ila biriyani la kiswahili angalau wanaweka viungo vichache sio hao wahindi, waarabu na wasomali eish kama ugomvi.