Hivi kwanini wali wa mkaa ni mtamu kuliko ule wa 'rice cooker'?

Sio wali pekee. Vyakula vyote vinavyopikwa kiasili ni vitamu sana
 
Jinga kubwa unaweza kula tu ndio manaa unanenepa mpaka matako
 
upo sahihi mkuu, ni kwamba hapo kuna long wave and short wave ndio maana kuna tofauti kati ya ladha ya mkaa na nishati zingine katika kupika ingawa mnaweza kuweka viungo sana au mpikaji ni yule yule na viungo vilevile ila ladha ikawa tofauti
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…