Wakuu,
Nimetembelea nchi kadhaa za Ulaya na Asia, kule watu wanatembea haraka haraka sana kuwahi kwenye mishe zao, lakini huku kwetu watu wanatembea taratibu kama konokono.
Tatizo ni nini?
Wakuu,
Nimetembelea nchi kadhaa za Ulaya na Asia, kule watu wanatembea haraka haraka sana kuwahi kwenye mishe zao, lakini huku kwetu watu wanatembea taratibu kama konokono.
Tatizo ni nini?
Mmmhkichwa kimejaa ujinga, hvy tunakipeleka pole pole ili kisianguke.
Kama konokono?!!!...mtoa mada hebu tuanze na wewe, kwa nini unatembea kama konokono?
Kwahiyo na wewe unatembea kama konokono?Sisi tunawaheshimu sana wahenga na misemo yao "haraka haraka haina baraka" na "polepole ndio mwendo"
Pumbu nzito
Nilidhani ni Mimi peke yangu nimeona hili. Nadhani kwa mtu aliyekwenda nje,hasa nje ya Africa atakuwa ameliona hili.Wakuu,
Nimetembelea nchi kadhaa za Ulaya na Asia, kule watu wanatembea haraka haraka sana kuwahi kwenye mishe zao, lakini huku kwetu watu wanatembea taratibu kama konokono.
Tatizo ni nini?
Hiyo itakuwa zamani sio awamu hii,naona na wengine huwa wanakimbia unaweza kudhani wanafanya mazoezi kumbe wanafukuzana na shilingi...
especially in tanzania!No hurry in Africa.
Kwa Africa ni kweli ujanja ni huko unakuta mtu ana bonge la mzigo... tena wengine wanatoa heshima sana kwa wenye MabushaPumbu nzito
Ukianza tu darasa la kwanza au la pili unaanza kufundishwa methali zinazo discourage haraka haraka.
Haraka haraka haina baraka.
Mwenda pole hajikwai.
Simba mwenda pole ndo mla nyama.
Kawia ufike etc.
Nafikiri shida itakuwa inaanzia huku.