yan ww ndo kizibo kabisa, sasa kma walitawala pwani nyie wa bara imekuaje? Au TZ ni bara pekee?Mkuu nchi hii ilitawaliwa na waarabu coast ya pwani yote.waarabu mambo yao hawana haraka kabisa na kutafuta maisha wanajua ni ya kupita tu.
Siyo kutembea tu hata kuongea. Utakuta mtu anakupigia simu na anaongea kwa mapozi kama wote hamna cha kufanya.Wakuu,
Nimetembelea nchi kadhaa za Ulaya na Asia, kule watu wanatembea haraka haraka sana kuwahi kwenye mishe zao, lakini huku kwetu watu wanatembea taratibu kama konokono.
Tatizo ni nini?
Wakuu,
Nimetembelea nchi kadhaa za Ulaya na Asia, kule watu wanatembea haraka haraka sana kuwahi kwenye mishe zao, lakini huku kwetu watu wanatembea taratibu kama konokono.
Tatizo ni nini?
Na salamu nne kwa wakati mmoja! Mambo? Mzima? Kwema kabisa? Unaendeleaje? Yani kupotezeana tu muda.Siyo kutembea tu hata kuongea. Utakuta mtu anakupigia simu na anaongea kwa mapozi kama wote hamna cha kufanya.
Hapo umenena!Na salamu nne kwa wakati mmoja! Mambo? Mzima? Kwema kabisa? Unaendeleaje? Yani kupotezeana tu muda.
nimejikuta nacheka kwanguvu yaani kuna muda hadi inakera haswa mjini kwenye mishe nyingi unawahi usafiri mtu amekublok mbele na mwendo wa kinyonga hahhahaha hua najiuliza huyu mtu vipiWakuu,
Nimetembelea nchi kadhaa za Ulaya na Asia, kule watu wanatembea haraka haraka sana kuwahi kwenye mishe zao, lakini huku kwetu watu wanatembea taratibu kama konokono.
Tatizo ni nini?
😄 😄wanatembea kichoovu, alafu wengine hadi shingo zimelala,
NaamWabongo wengi ni Wavivu na Wajinga
Uvivu tuliurithi kwa Waarabu na Ujinga pia wa kutopenda na kuzingatia Elimu dunia na Maarifa.
Hiyo ndio sababu.
Sent using Jamii Forums mobile app
hali ya hewa. Niligundua hili nilipokuwa Nairobi . Kule wanatembea haraka, nikaja Dar ni polepole. Nikafika Mombasa ni pole pole. Ndio nikajua jua Kali huaababiaha kupunguza speed mwendo
Wakuu,
Nimetembelea nchi kadhaa za Ulaya na Asia, kule watu wanatembea haraka haraka sana kuwahi kwenye mishe zao, lakini huku kwetu watu wanatembea taratibu kama konokono.
Tatizo ni nini?
Kama ni kweli wale wenye matege halafu wanatembea kasi akili zao ni za namna gani.Kanuni yangu ninayotumia ni hii"walk 25 percent faster"
Kusema ukweli utembeaji wa mtu unaweza kueleza mengi sana kuhusu huyo mtu kuanzia mtazamo wake na uwezo wake wa kufikiri.
Ukiona mtu anatembea taratibu basi ujuwe hata mind yake ipo taratibu sana Katika kupambanua Mambo.Na hii ndo mana nchi za Bara la giza hazipati maendeleo.