Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,432
- 7,092
Jibu munakash!Huenda ikawa na uhusiano wa moja kwa moja na namna yetu ya kufikiri na kutenda!
Jibu munakash!Huenda ikawa na uhusiano wa moja kwa moja na namna yetu ya kufikiri na kutenda!
Ccm imewabemenda kila MTU anakiriba tumbo...utatembea haraka unataka iwajeWakuu,
Nimetembelea nchi kadhaa za Ulaya na Asia, kule watu wanatembea haraka haraka sana kuwahi kwenye mishe zao, lakini huku kwetu watu wanatembea taratibu kama konokono.
Tatizo ni nini?
Sio wote. Mwendo wangu ni wa kijeshi sina muda wa kupoteza kutembea kwa madaha.Wakuu,
Nimetembelea nchi kadhaa za Ulaya na Asia, kule watu wanatembea haraka haraka sana kuwahi kwenye mishe zao, lakini huku kwetu watu wanatembea taratibu kama konokono.
Tatizo ni nini?
Hili ni zaidi ya tatizoHasa kwenye zebra, wanakera sana
Mkuu kiriba tumbo ni kubemendwa! Na mwenye 'kwashakoo' tusemeje?Ccm imewabemenda kila MTU anakiriba tumbo...utatembea haraka unataka iwaje
Hilo ndiyo tatizo.siyo kutembea hata salamu mfana habari yako mtu anasema habariiiiiiiiiii yakoooooooo,how ayuuuuuu kwaheriiiiiii.
Hii ni kweli, na mtu akitaka kuthibitisha apite ferry ajionee watu wakishuka kwenye pantoni wanavokuwa na kasi kubwa kuwahi mishe zaoPilika za uchumi ndo zinachangia mtu kwenda kasi au slow. Hata wewe mwenyewe ukiwa kariakoo kama dili zako zimebuma utarudi ukiwa mpole sana huna haraka na mwazo chungu mzima. Ila sasa ikitokea dili zako zimelipa na unatakiwa urepoti maeneo mawili matatu tofauti mjini utaona kama mda hautoshi utatembea kasi kama radi kwa vile unajua ukichelewa kufika maeneo hupati hela mda ukiiisha. Kwaiyo ukiona wabongo wengi wapo slow siyo kwamba ni utamaduni wao ni vile dili zimebuma na wana mawazo, ukiona mtu yuko kasi ujue anawahi muda asije kuchelewa maeneo yake ya hela akakosa hela kwa sikuiyo. Ni swala la uchumi tu na mzunguko wa pesa, uchumi wetu bongo ni mdogo na watu wengi wameachwa dili zao zimebuma hivyo hawana cha kuwahi, ila wenzetu uko mbele uchumi ni mkubwa na watu wengi mno dili zao zimetiki hivyo ukiona wapo kasi ni kwamba wanawahi mpunga wasije wakachelewa maeneo yao wanakopatia hela. Ni ivyo tu wala siyo swala la rangi au joto au baridi.
Mhhh 🏃😂Hahahaha!! aise umeongea ukweli mtupu mara ya kwanza kutoka nje ya Tz, asubuhi nilivyoamka nikatoka nje nikaona kila mtu anatembea haraka ikabidi nisimame kushangaa watu wanavyotembea haraka haraka mpaka nikamuuliza mwenyeji wangu kulikoni na kuniambia kuwa ndo walivyozoea.
Kwetu miundombinu mibovu unaweza kujikwaa ukaangukia kwenye maji ya chooni.Wakuu,
Nimetembelea nchi kadhaa za Ulaya na Asia, kule watu wanatembea haraka haraka sana kuwahi kwenye mishe zao, lakini huku kwetu watu wanatembea taratibu kama konokono.
Tatizo ni nini?
Dah!Jamaa mmoja aliwahi kuuliza hivi waafrika wote mnaumwa?
Sio kwa kuburuza ndala huko
Wakuu,
Nimetembelea nchi kadhaa za Ulaya na Asia, kule watu wanatembea haraka haraka sana kuwahi kwenye mishe zao, lakini huku kwetu watu wanatembea taratibu kama konokono.
Tatizo ni nini?
SiMkuu nchi hii ilitawaliwa na waarabu coast ya pwani yote.waarabu mambo yao hawana haraka kabisa na kutafuta maisha wanajua ni ya kupita tu.
Pumbu nzito