Hivi kwanini sisi Watanzania tunapenda kutembea taratibu kama konokono?

Hao wanaotembea haraka wana tofauti gani na siafu? Ukishamaliza kuwaangalia hao wajapani, nenda kwenye kichuguu halafu fanya angalia kama Kuna tofauti.
 
Mi sio kutembea tu, hata kuongea. Ukinisemesha subiria sekunde kadhaa ndio nikujibu. Sijui ni kwa nini lakini ndio nipo hivyo. Kama nina haraka nitatembea kwa kasi au kukimbia kabisa kulingana na haraka niliyonayo. Kama sina haraka ya nini kujichosha? Yaani nimemaliza ratiba zangu za siku, naenda sehemu kurefresh mind kuvuta giza liingie nikale unataka nitembee kama nafukuzwa?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom