Hivi kwanini Mungu ana wivu?

Hivi kwanini Mungu ana wivu?

Kwa sababu sisi ni viumbe wake na ametuumba kwa mfano wake. Sisi sote ni wa kwake inapokuja kutokea hatumtii na kumfuata lazima kuna ambaye ni tofauti na yeye tunamfuata hapo ndipo wivu hutokea kwa sababu yumeumbwa ili tumfuate yeye Muumba.
Sio sote sema wewe na baadhi ya kondoo .
 
Kwa hiyo kiuhalisia umeamini hizo ni illusion na hallucinations tu ! Kama mimi pia sina hizo fikra imani kwangu hayupo?
Kama huna hizo fikra zinazopelekea imani ya uwepo wa MUNGU, ila unamjadili basi yupo kwenye ulimwengu wako.

Kitu kisichokuwepo hakina effect kabisa, hukijui wala hukififikirii. hakipo means hakipo, huwezi kufikiri kisichokuwepo, ukishakitengenezea fikra na kikazungmzika, kikajadilika tayari kipo ndo maana mnajadili.

Mfano, ww huna effect kabisa kwa masai aliyepo porini anawinda, hauexist kwenye uwepo wake, haupo katika fikra zake, haupo katika mijadala yake. Una zero impact katika uwepo wake. Kwenye ulimwengu wake haupo.
 
Sio kila kilichoandikwa unakiamini..Mungu hawez kuwa na wivu hata sku1..Mungu level ya ukamilifu alishaipita..hawez fanya makosa.ndomana kila unachokiona dunian kiko kama kilivyotakiwa kuwa..ni binadamu ndio tunaharibu hyo balance..ni kumkosea sana Mungu kumpa character za kibinadamu.


Wewe unadhani kwanini ameumba Pepo na Moto wa jahannam?

Kwanini asingeacha tu wanaaadamu wote waende peponi (paradiso)?
 
Kama haya yote tunayo yazungumza yapo katika frame/dimensions za mwanadamu, Wewe unayesema Mungu yupo unatumia frame/dimensions zipi tofauti na za kibinadamu?

Au wewe sio mwanadamu?

Unatumia frame/dimensions zipi tofauti na za kibinadamu kusema Mungu yupo?



Umejuaje na kutumia frame/dimensions zipi tofauti na za kibinadamu kujua kwamba uliumbwa?

Na unathibitishaje?


Aliyesema Mungu yupo alijuaje na kutumia frame dimensions zipi tofauti na za kibinadamu kusema Mungu yupo?

Uthibitisho wa uwepo wa Mungu uko wapi?
Naona bado haunielewi. Ebu tuliza akili yako na usije kwa lengo la kubishana bali kujifunza. Haihitaji akili za kimungu kujua na kutambua kwamba hatukujiumba tu wenyewe au we just existed from nowhere! Lazima kulikuwa na source.Hilo halihitaji akili za ziada lipo katika frame ya kibinadamu na muhimu zaidi yeye aliyeziprogram akili zetu aliweka hilo kwa makusudi!. Kuthibitisha hilo wala halihitaji nguvu kubwa! Uwepo wako na ulimwengu unatosha kuthibitisha hilo!
 
Naona bado haunielewi. Ebu tuliza akili yako na usije kwa lengo la kubishana bali kujifunza. Haihitaji akili za kimungu kujua na kutambua kwamba hatukujiumba tu wenyewe au we just existed from nowhere! Lazima kulikuwa na source.Hilo halihitaji akili za ziada lipo katika frame ya kibinadamu na muhimu zaidi yeye aliyeziprogram akili zetu aliweka hilo kwa makusudi!. Kuthibitisha hilo wala halihitaji nguvu kubwa! Uwepo wako na ulimwengu unatosha kuthibitisha hilo!
Umetumia kanuni gani apo unaposema lazima kuwe na chanzo ,na hiyo kanuni wakati huo huo inakataa Mungu kuwa na chanzo , hauoni apo ni kama kufunika kombe mwanaharamu apite?
 
Kiuhalisia Sifa zimegawanyika kwa makundi tofauti.

Kuna Sifa za ukamilifu na Sifa ambazo si ukamilifu.

Mfano wa sifa za ukamilifu kwa Mungu ni Upole,Huruma,Wivu,Ukali wa kuadhibu,Kulipiza kisasi,Nguvu, Kusikia,Kujua,Kuumba,Kuanzisha,Kuhuisha,kufisha n.k

Pia kuna sifa ambazo si za ukamilifu,hizi ni sifa ambazo hazimfai Mungu na hazipaswi kunasibishwa nae...mfano kula,kuzaa,kuzaliwa,kusaidiwa,kufa,kuchoka,kuzidiwa,kuumwa ,kulala ,kusinzia n.k
 
Umetumia kanuni kani apo unaposema lazima kuwe na chanzo ,na hiyo kanuni wakati huo huo inakataa Mungu kuwa na chanzo , hauoni apo ni kama kufuika kombe mwanaharamu apite?
if he say everything has its origin same to God , so where it is come from?
 
Alitakiwa asemeje?
Kabla rip faza_nelly hujaniuliza swali, hukuwepo. Hukuexist, sikufahamu lolote kuhusu wewe, sikukuzungumza, sikukufahamu, sikukufikiria. In short hukuwepo kwenye ulimwengu wangu wowote, si wa kiroho si wa kifikra si halisi.

Ukisema hakipo maana yake ndo hiyo.
 
Back
Top Bottom