BB_DANGOTE
Member
- Sep 25, 2023
- 32
- 23
Ndugu wana JF hili ni swali nililojiuliza sana kwa muda mrefu.
Kwa tathimini kwamba zaidi ya asilimia 60 taarifa za wananchi zanapatikana mtandaoni kwa kuwa siku za saivi asilimia kubwa ya watu wamesoma na kama wamesoma na kuhitimu unamaanisha taarifa zao zote zinapatikana kwenye mfumo wa serikali ikiwemo mwaka na tarehe ya kuzaliwa pamoja na jina lako na la wazazi wako na mengine mengine mengi.
Kwangu mimi naona huu ni uzembe na kukosa uwajibikaji kwa sector husika, kwani wanajamii mnaonaje kuhusu hili suala?
Karibuni.
Kwa tathimini kwamba zaidi ya asilimia 60 taarifa za wananchi zanapatikana mtandaoni kwa kuwa siku za saivi asilimia kubwa ya watu wamesoma na kama wamesoma na kuhitimu unamaanisha taarifa zao zote zinapatikana kwenye mfumo wa serikali ikiwemo mwaka na tarehe ya kuzaliwa pamoja na jina lako na la wazazi wako na mengine mengine mengi.
Kwangu mimi naona huu ni uzembe na kukosa uwajibikaji kwa sector husika, kwani wanajamii mnaonaje kuhusu hili suala?
Karibuni.