souljah meditater
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,146
- 2,102
sio every day ni every time
Mke wangu center bolt, imekatika anatembea kiuno upande kwa idadi ya mabao kila siku mpk anakimbia chumba


Angekuwa anakereka/hafurahii angerudi kwao vinginevyo Ana matatizo ya Akili ndio maama anang'ang'aniaUhalisia ni kuwa huwezi kusex siku zote eti unaacha siku za hedhi tu??!!!!...nimeshangaaa sana..kama wanandoa hasa wanaume tunafanya hivi basi mjue wazi kuwa huyo mkeo hafurahii ladha ya sex badala yake anafanya tu kwa kuogopa atakukwaza ila kinyume chake unamkwaza yeye ..na ukitaka kuamini mwambie kuwa unasafiri uone anavyofuhi moyoni ili tu apate kupumzika...miwe manafanya hivyo wakuu mtaharibu ndoa zenu..
TupoMajibu tafadhari
Kila siku inakua mwanzo wa ndoa lakini baada ya mda, speed inapungua ya kila siku..Majibu tafadhari
Kaka/dada natafta kitufe cha likes 15 sikuoni. Ni kweri kabisaaa....mimi uwa hamu ya kulala na mwanaume inapanda kwa msimu, sina mhemko!Kuna kitu kinaitwa hisia au hormone kama sikosei!! Kusex Mara nyingi inategemea na homorne zenu zikoje!! Kuna wanawake wenye hormen chanya na hasi hali kadhalika na wanaume pia!! Sasa ukampata mwanaume mwenye chanya nawe hasi ndo tatizo la kutoka nje ya ndoa linapoanza hali kadhalika ukawa na mke mwenye chanya nawe ni hasi hapo tegemea kushare na MTU mwingine maana hamtatoshelezana na katika mahusiano ni lazima umjue mwenza wako hormone zake ni hasi au chanya vinginevyo utakuja lalamika hapa kuwa hakutoshelezi au anataka sex Mara kwa Mara
Nipe namna mkuuHapa ilibidi umquote ndugu Shonkoso. Post yako imeongezea pale ambapo yangu iliacha.
Naunga mkono hoja.
Hata hivyo Kuna namna za kuepuka sex rut.
Kubadilisha namna ya tendo mnavyofanya kuanzia jinsi mnavyoanza na kuandaana mpaka mnapofikia kuanza tendo. Mfano unaweza kuanzia kuandaana mpaka mnaanza kula tunda mnakua mmesimama tu hivyo mnaweza kufanyia hata kichochoroni au sebuleni.Nipe namna mkuu
) badilisha hata mandhari ya chumba kwa kukipamba au kubadilisha kitanda kinapokaa na mashuka.Kwanini maana mie ndoa yangu inamiaka7 sasa kwani kua na ndoa changa ndo kunasababisha kugongana Mara kwa Mara au ninachojua Mimi mume au mke usimpende kimazoea maana mazoeamwisho wa siku mnazoeana na kuzoea hata wakati wa kupeana tendoWachangiaji wengi mtakuwa si wanandoa au ndoa zenu changa sana.....
Tumia tafsidaKutombana raha