Oyaa majibu mengine msilete humu ,wake zetu qamo JF sasa wakisoma hii wataanza kufuatilia tunachepukia wapi?Ukiona hivyo juwa mmoja anachepuka
Hivi hakuna majibu toka rombo?Kuna tumama tukorofi kweli kenyewe kila siku kanata ukakojoze hata mara tatu hadi mpini unawaka moto khaaa!!!