johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,731
Mimi hyo romance ndo ugonjwa wangu lazima niombe kumaliziaOff course ni kukosa kazi na kulengesha akili zetu kuwa tumeoana kwa ajili ya hilo tukio, to me na mwenzi wangu hakika ni hapana! Tunafanya ndio lakini si kila siku kama mfanyavyo nyie
Sababu kuu hatutaki kuchokana, kila siku kubinuana mwisho ubunifu huwa 0, lazima kuna mmoja wenu atafanya kama wajibu wake lakini hatofanya kama haki yake, muwe mnapeana muda hata wa siku 3-4-5 ziwe siku za kisses na romance tu wakubwa sio kila siku kulima shamba ardhi nayo inachoka mwisho huisha rutuba
hata b,,j,,o,,b itahusika