kamatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2011
- 854
- 583
Ikitokea nimesafiri japo siku 4 tu nikirudi home huo moto wake hatareeeBaada ya kusex na mtu kwa muda mkubwa hutokea kitu kinaitwa sex rut yaani mwenza anakosa hamu ya tendo kwa mwenzake na kujikuta anafanya kwa kukamilisha ratiba.
Inaweza kuwakumba wote au mmoja kati ya hao.
Kinachopelekea hali hii ni kukaririwa kwa ratiba na kutokea dynamic kwenye tendo au hata eneo la kusex.
Naomba niseme kua Wanandoa hawawezi kusex kila siku milele itafika muda ile spark ya kwenye sex inapotea.